Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

  • Sticky
Welcome to the Real Madrid C.F. Jamii Forums thread. Keep up to date with the latest news & engage with the club and other supporters. The club formed in 1902. Stadium: Santiago Bernabéu...
38 Reactions
50K Replies
2M Views
Baada tu ya Komredi Makala kutangazwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM Chama Kikuu Cha Upinzani kikasema Makala hauwezi kukubali kufanya mdahalo Lakini wakati wa kupokelewa ofisini Lumumba Komredi Makala...
2 Reactions
6 Replies
147 Views
Hamjambo wana jf, Kwanza nianze kujitambulisha mimi ni mkristo ninayempenda yesu. Swali langu ninaomba kufafanuliwa juu ya maneno haya. 1. Kanisa ni mtu ama mkusanyiko wa watakatifu ama...
3 Reactions
42 Replies
314 Views
Huyu kiongozi wa UVCCM huko Kagera aliyesema atawapoteza Wapinzani na polisi wasiwatafute kama atakuwa bado yuko ofisini mpaka kufikia leo jioni baada ya kumsikia Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi...
2 Reactions
3 Replies
105 Views
MISRI ni nchi inayozunguka kona ya kaskazini mashariki ya bara la afrika hadi kwenye Rasi ya Sinai kusini magharibi mwa bara la Asia Nchi ya Misri imepakana na nchi kama Israel, Palestine...
7 Reactions
17 Replies
437 Views
Mahakama ya wilaya ya Temeke yavunja ndoa ya kikristo kati ya Salome Laurian Maganga na Bwana Michael Peter Motau baada ya ushahidi kuonesha bwana harusi hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa...
9 Reactions
44 Replies
875 Views
  • Article
Habari, Kumekuwa na hoja mtaani inadai kwamba ikitokea upo porini na ukahisi harufu ya wali au mchele unapaswa kuchukua tahadhari kwani ni ishara kuwa chatu yupo karibu na anatoa harufu hiyo...
9 Reactions
69 Replies
1K Views
Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha. Onyo...
5 Reactions
94 Replies
3K Views
Ni jambo la kushangaza kwamba wachekeshaji wengi wa kiume wanapenda kuvaa mavazi ya kike katika kazi zao. Tena wengine wanavaa mpaka mawigi na wanapaka makeup kabisa Huenda ikawa wanaona njia hii...
0 Reactions
6 Replies
99 Views
Ndio hivyo, kiongozi anatakiwa kupinga mambo ya kijinga hadharani. Tunasubiri la kijana wa Arusha. --- Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amekemea kauli zinazoweza...
10 Reactions
64 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,846,414
Posts
49,416,801
Members
665,942
Latest member
lifeofstwicher
Back
Top Bottom