Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna mambo Mawili muhimu Sana Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu...
10 Reactions
60 Replies
1K Views
Habari wadau? Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika...
2 Reactions
14 Replies
180 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
923 Reactions
1M Replies
39M Views
Kauli zozote za kishujaa kuhusu muungano ni nakili kutoka kwa waasisi wa mataifa haya mawaili ! Huenda labda kwa wakati huo muungano ulikuwa na manufaa lakini sio sasa! Kama nyumba ya zamani...
3 Reactions
6 Replies
75 Views
Ni Muda mwafaka tanroad kuifungua Barabara ya makambako hadi mlimba kuungana na iliyotoka Ifakara kwa ni wananchi wengi kipande hichi wamekuwa wakitumia treni kama ndo usafiri wao na kwanini...
6 Reactions
29 Replies
476 Views
Kwa mujibu wa Ratiba iliyosambazwa na Chadema , leo ni zamu ya Mkoa wa Simiyu , ambako wananchi wataandamana mitaani kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za uchaguzi nchini Tanzania Kama...
4 Reactions
5 Replies
42 Views
Baada ya kuwakanda Simba S.C katika mchezo uliopita wa ligi ya NBC, mabingwa watetezi na vinara wa ligi kuu, Yanga Afrika leo tena watashuka dimbani mida ya saa 10 kamili jioni kuzisaka point tatu...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Viongozi wetu tuambieni na tufafanulieni vizuri tuwaelewe. Huu Muungano una dhima gani Kwa wenzetu visiwani? Zanzibar Wana sheria zao tofauti kabisa na Tanzania. Rais wa Jamhuri akisema Watanzania...
2 Reactions
19 Replies
247 Views
Hossein Hosseini, mlinda mlango wa klabu ya soka ya Esteghlal ya Iran, ameitwa kwenye kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka ili kuelezea tukio la kumkumbatia shabiki wa kike. Tukio hilo...
4 Reactions
58 Replies
1K Views
Hivi karibuni tumeshuhudia kiasi kikubwa cha fedha kutoka taifa la kubwa la marekani kuzisaidia nchi za Ukraine, Israel na Taiwan. Lakini kwa kuangalia kwa jicho lingine ni kama ili kudili vizuri...
0 Reactions
1 Replies
11 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,089
Posts
49,473,939
Members
666,584
Latest member
Johnbosco4256
Back
Top Bottom