Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amos Makalla akiwa Mkoani Mbeya leo, Aprili 16, 2024, amesema "Sisi tuna utaratibu mzuri, hatuwezi kupiga kelele sana, mambo mengine yanahitaji faragha, ndio...
0 Reactions
26 Replies
610 Views
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa. Na kama hamtaniona hapa JF...
34 Reactions
270 Replies
3K Views
Wanaokopesha Kwa riba nafuu tafadhari tuwasiliane 0656980802 nahitaji 400,000 asap Kwa mwezi au miezi 2
0 Reactions
16 Replies
82 Views
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani. Yawezekana yule binti...
9 Reactions
53 Replies
2K Views
Kwa wale ambao Huwa mnauliza wapi mnaweza kuwekeza na kufungua biashara basi sogezi siti. Tanzania Ina Jumla ya Halmashauri za Majiji,Miji na Wilaya 184,kati ya hizo ni Wilaya 60 ndio Zina...
0 Reactions
9 Replies
209 Views
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangala amesema anapenda kuona Haki ya msingi ya Kikatiba ya Kujieleza ikiheshimiwa Kigwangala amedai yeye binafsi ataipigania na kuitetea Haki ya msingi ya Mange...
13 Reactions
135 Replies
8K Views
Mimi nilikutana na huu mto nikavutiwa na mazingira yake nikaamua kupiga picha.Huu unaitwa mto nzovwe.Sio lazima yawe mazingira tu bali kitu chochote ambacho kilikufanya uwe interested...
8 Reactions
53 Replies
6K Views
Hatimaye CAF wamefuta hili kombe kuna timu ya ajabu kweli ilicheza hadi fainali. Sasa hivi zile medali hazina tofauti na shanga za wamasai
1 Reactions
1 Replies
2 Views
  • Poll
INTRO Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa maisha kiujumla una maswali mengi sana abayo hayana majibu kamili...
71 Reactions
4K Replies
242K Views
licha ya ndege zisizo na rubani za Iran yaani drones kudunguliwa kabla ya kulenga shabaha imegundulika idadi kubwa ya makombora ya masafa marefu ya Hypersonic ya Iran yameteketeza vibaya kambi...
4 Reactions
18 Replies
678 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,020
Posts
49,404,249
Members
665,808
Latest member
Edga wakota
Back
Top Bottom