Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mama ukitaka kuupiga mwingi kwenye uchaguzi wa 2025 hapa Dar es salaam mlete Paul Makonda jijini hapa. Inakuaje Arusha kila kukicha wanakamata “media” na “social networks” zote wao tu. Kiufupi...
3 Reactions
5 Replies
91 Views
Assalamualaikum Wana familia ya jf. Nina ishi mbeya mjini sehemu inaitwa Airport ya zamani. Natafuta mwanamke anayejitambua na mwenye uhitaji wa mume ili kujenga familia. Sifa zake Awe mwanamke...
17 Reactions
131 Replies
1K Views
Wakati umefika Sasa wa Serikali Kufanya maamuzi magumu Kwa kushirikiana na DRC na kuanza Ujenzi wa Daraja litakalokatisha Kwenye Ziwa Tanganyika. Daraja Hilo kinaweza kujengwa kati ya Bandari ya...
8 Reactions
94 Replies
2K Views
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali. Matokeo ya kura...
44 Reactions
243 Replies
5K Views
Wengi huwa wanapata shida kujua utofauti wa haya maneno hususan pale unaponunua bidhaa na kukuta nyingine imeandikwa 'Made in UK, nyingine 'Made in England' nyingine 'Made in Great Britain'. Sasa...
45 Reactions
63 Replies
2K Views
Kila wakati hoja ya Simba "mbovu" huwa siielewi kabisa. Ubovu wa Simba kigezo huwa ni nini? Je, Simba ni timu isiyotakiwa kufungwa? Je, Simba ni timu isiyotakiwa kutoka suluhu? Je, Simba...
5 Reactions
11 Replies
191 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
40 Reactions
50K Replies
3M Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
381K Replies
10M Views
Kwa mambo yanayoendelea huko mtandaoni shutuma mbaya na za kutisha Sio nzuri kwa mkuu wa nchi, haipendezi wala sio busara kuona mkuu wa nchi anashutumiwa mambo mazito kama yale huku mkuu mwenyewe...
2 Reactions
15 Replies
276 Views
Msikilize hapa Makonda Mkuu wa Mkoa wa arusha alipokuwa akiwaasa watendaji katika mkoa wake. hakika nakubaliana naye kwa 100% kuwa vikundi vya watu wanafiki, wambeya, wafitini na wabadhirifu...
1 Reactions
5 Replies
133 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,518
Posts
49,488,552
Members
666,769
Latest member
JBLEMUTZ
Back
Top Bottom