APPARTMENTS ZINAUZWA-KARIBU NA KITUO CHA DALADALA
_____
SABABU YA KUUZA-BOSS KAKWAMA KIFEDHA
______
MAHALI-NKUHUNGU
______
UMBALI TOKA BARABARA YA LAMI-80M
______
-ZIKO APPARTMENTS 06 KWENYE...
Nachukia ndoa na wala sipendi watu wanaofurahia ndoa zao na wala nawachukia those people who start to establish relationship na kwamba ndoa ni utapeli na kupotezeana muda tu and I hate those woman...
Nchi nyingi zenye mlengo wa uislamu au majimbo mengi ya nchi yenye mlengo wa uislamu uwa ni kitovu cha ugaidi na maeneo hayo usifika kwa kuzalisha makundi mengi ya Kigaidi.
Sisemi tu kwa sababu...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Ewe mtumishi wa serikari usijiulize utapata wapi mkopo kwa vigezo nafuu na riba nafuu jibu ni Banc ABC hii ni taasisi ya kifedha inayo jihusisha na utoaji wa mikopo kwa watumishi wa serikali...
mimi ni mwanaume wa miaka 35 sasa, nilioa miaka 4 iliyopita, kisha nikaghaflika nikazaa na mwanamke mmoja baada ya mke wangu tu kujifungua.
Sasa mwanamke huyo anataka kuolewa na anayemuoa...
CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema...
Na wala hakuna aliyewahi kukamatwa achilia mbali kufungwa , hili ndilo linawafanya viongozi wa ccm kulogana kugombea Vyeo kwenye matawi na kata , huwa wanalambishwa hizi heka hata kama ni kidogo...
Fuatilia yanayojiri wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU kwa mwaka 2022/23, Ikulu ya Chamwino, Dodoma, leo Machi 28, 2024...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.