Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hebu angalia hii video clip fupi Sana wala haikumalizii bundle lako, haifiki hata mb1, kama ulikuwa unajiona na wewe ni Mwarabu basi elewa wewe ni takataka tu Kwa Waarabu. Jitafakari. Cc...
12 Reactions
96 Replies
1K Views
Hi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana. Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi. Nimeshangaa...
18 Reactions
138 Replies
5K Views
Mim ni kijana mwenye umri wa miaka21, Nina mashine mbili moja ya kusaga na ya kukoboa mashine kubwa za kuzalisha unga wa kupeck. Nina million kumi cash ya mtaji na mashine zipo complete kwa...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Yaani napalangana kuuza kangala na huku napiga kazi.. Kuna dada mmoja alinikuta kazini (Kapuni naliweka jina lake.) Aliponikuta kazini alikuja hajui kitu. Nikamfundisha kazi. Baada kujua kazi...
10 Reactions
67 Replies
2K Views
Watanzania biashara wanayoimudu ni Kuuza maneno yaani Siasa na si zaidi ya hapo Wamepewa Mwendokasi imewashinda wakaishia Jela Waarabu Wana history ya kufanya vizuri Kwenye Sekta ya...
2 Reactions
25 Replies
177 Views
Niajee wakuu, Mazoezi ni muhimu sana. Shauri yenu!!! Mwanaume ata kupiga push ups 10 huwezi, kukimbia nayo huwezi, ata kutembea mdogo mdogo km ½ nayo huwezi. Achaneni na chips yai wazee pigeni...
11 Reactions
56 Replies
947 Views
Ndugu zangu Watanzania, Mimi leo wala sina maneno mengi ila nataka tu kuwaambia kuwa katika siku ya leo ambapo ni siku ya mapokezi ya ndege mpya iliyonunuliwa na serikali yetu ya CCM. Mheshimiwa...
17 Reactions
145 Replies
6K Views
Watanzania wenzangu mtakumbuka kwamba 4 March 2024 niliripoti kuhusu uwepo wa mgodi wa siri huko Singida - Tabora baada ya kupewa taarifa na mmoja wa wachimbaji wadogo. Timu yangu ilifanikiwa...
6 Reactions
36 Replies
701 Views
Kutokuwa tayari kula na watu. Kuna dogo mmoja anafufua na kuuza PC kwa bei rahisi. Alinifuata anaomba mtaji na hataki kukopa benk. Nikamwambia sasa mimi nitawekeza kiasi kadhaa alafu katika hiyo...
5 Reactions
8 Replies
579 Views
Nikiwa na miaka 16 niliwahi mshuhudia jamaa yangu fulani akifanya punyeto (Masturbation) akanifundisha jinsi ya kufanya, nilipofanya mwishoni nilisikia raha moja ya ajabu sana, siku iliofuata muda...
6 Reactions
29 Replies
496 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,241
Posts
49,194,633
Members
663,952
Latest member
Eber Manya
Back
Top Bottom