Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna biashara inayoendelea kati ya baadhi ya wafanyakazi wa TANESCO TANGA MJINI na wamiliki wa Kumbi za kuonyesha mipira kwa makubaliano wanayoyajua wao. Mechi ikikaribia kuanza kuchezwa...
2 Reactions
9 Replies
51 Views
Nimeangalia jana znz watu wanakamatwa kwa kula mchana ....sasa nikajiuliza mfano marekani ingekuwa dola ya kiislam uingerez dola ya kiislam china nayo dola ya kiislam .yaani mfano nchi...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Mwanamke myenye miaka 27+ na hajaolewa wanakuwaga na stress Sana, Kuna baadhi nawaonaga niliskuli nao na wengine tulikuliaga kitaa kimoja Wanawaza Sana kiasi kwamba nawaonea huruma, zifuatazo ni...
11 Reactions
133 Replies
2K Views
Mimi ni mkristo, mpenda haki. Nimekuwa nikiwatetea sana wapalestina katika platforms za social media kote nilipo. Hakika kitendo kinachoonekana katika video niliyoambatanisha kimeniumiza...
2 Reactions
74 Replies
800 Views
Nimestushwa na kuogopa tena nikalazimika kuisoma Katiba ya Zanzibar mara mbili. Leo Waislamu wa Zanzibar wanawavamia na kuwapiga vibaya Wazanzibar wenzao ambao sio Waislamu kwakuwa tu wanakula...
13 Reactions
310 Replies
20K Views
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
6 Reactions
119 Replies
2K Views
Nilipoteza simu tarehe 3 mwezi wa 2, nikaona ngoja niilipoti polisi wanisaidie kuitafuta, kwenda kituoni sikupewa hata RB nikaishia kuunganishwa na askari ambae atanisaidia kupata simu yangu...
0 Reactions
4 Replies
56 Views
Maana kama sielewi elewi hivi! Hakuna kanuni zinazokataza virendo hivyo?!! Maana sioni 'fair play hapo zaidi ya kuhamasisha vitendo vya ushirikina, kubaguana na hila mbalimbali katika mchezo wetu...
2 Reactions
11 Replies
155 Views
ni miongoni mwa chaguzi rahisi mno, na ni muhimu sana kwa waTz. ni kuhusu hoja na sera za maendeleo dhidi ya malalamiko, kelele na ghadhabu za waliokosa hoja na walio poteza uelekeo. ni baina ya...
0 Reactions
2 Replies
24 Views
Binti (Miaka 19) yupo kwa Basi, anatoka zake Dar kwenda Uyulo-Mbeya kumsalimu Shangazi yake, anawasiliana nae kwa Simu akiwa safari, lakini anafika Iringa Simu inakata Chaji. Binti anamuomba Simu...
8 Reactions
97 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,515
Posts
49,204,711
Members
664,043
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom