Ile kesi maarufu ya kuvuliwa uwakili bi Fatma karume aka shangazi na mwanasheria mkuu wa serekali ndugu feleshi aliyekata rufaa Basi leo amekubali yaishe kwa kuiondoaa rufaa yake mahakamani
Sasa...
CAG anasema Kwa miaka 5 iliyopita zaidi ya Bilioni 190 zimeliwa na Wajanja Kupitia mikopo ya pesa za ndani za Asilimia 10 kutoka Halmashauri.
Pesa hizo hazijulikani zilikoenda na pia...
Je, Mungu ni muweza wa yote?
Kama jibu ni ndiyo, basi tukubali mema na mabaya yote yake, yote mema na mabaya yanayo endelea ulimwenguni kote yeye ndio muhusika.
Ukiona unamchagulia yapi anafanya...
Rais Samia amesema Ripoti za CAG zinafanyiwa Kazi na watu wanaokwenda kurekebisha makosa ndio sababu kuna Ongezeko la Hati Safi
Rais Samia amesema 99% ni Hati Safi na 1% tu ndio Hati chafu...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watu kumi na mbili kwa tuhuma za kukutwa wakila mchana hadharani kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao wanaifanya kuwa...
Mabinti wengi wanadanga ili kupata mitaji ya biashara lakini mwisho wa siku wakipata mitaji wanashindwa kuendesha biashara na wanajikuta wakifirisika na kurudia tena kudanga/Kuuza Mbususu.
Nachukia ndoa na wala sipendi watu wanaofurahia ndoa zao na wala nawachukia those people who start to establish relationship na kwamba ndoa ni utapeli na kupotezeana muda tu and I hate those woman...
Wanaukumbi.
Mkuu wa Huduma ya Usalama ya Shirikisho la Urusi alisema leo, "Marekani, Uingereza, na Ukraine, ndizo zilizohusika na shambulio la ukumbi wa tamasha la Moscow".
Hayo ni madai mazito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.