Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Natumai wote wazima kabisa Leo nimekaa nikawaza nikawazua bila majibu kamili, ila natabiri haya juu ya Makonda 2025 huenda akawa mgombea mwenza wa Samia, au atagombea ubunge Jimbo lolote kati ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
kanuni yangu ya maisha ni hii: fanya ibada, tafuta pesa, wekeza, msaidie asienacho(japo sio lazima) na mwisho kabisa kumbuka kujipa furaha wewe mwenyewe. Mwaka 2020 ulikuwa ni wa mafanikio sana...
8 Reactions
53 Replies
1K Views
Mahakama kuu Kanda ya Manyara imefutilia mbali rufaa ya Hashimu Ally, dhidi ya Mbunge wa jimbo la Babati Mjini, Pauline Gekul kwa madai kuwa imekosa na mashiko. Maamuzi hayo, yametolewa na Jaji...
0 Reactions
2 Replies
67 Views
Wadau hamjamboni nyote? Hatimaye wameonana baada ya kuachana miaka mingi wakiwa shuleni pamoja Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na majirani zake wa zamani Bi Asha Salum...
3 Reactions
16 Replies
751 Views
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki? Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana...
17 Reactions
84 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kilichopatikana kwa Maombi hulindwa kwa Maombi na kilichopatikana kwa uchawi na makafara hulindwa kwa uchawi na makafara yakiambatana na matambiko yasiyo kwisha. Kwa...
6 Reactions
219 Replies
5K Views
Yatoa hakikisho kwa mataifa ya Kiarabu yawe na amani kwamba chochote inachokusudia kufanya haitawadhuru..... Dunia sasa hivi inatumia nguvu nyingi kuibembeleza Israel maana tatizo la Israel huwa...
0 Reactions
2 Replies
14 Views
Wakuu habari za muda na wakati kama huu. Binafsi naamini wengi wetu tu wazima wa afya na wale wachache wenye changamoto fulani kiafya basi Mungu awatie nguvu na awape steps zingine ahead...
36 Reactions
170 Replies
4K Views
Salaam, Shalom!! Maelfu ya watu wanaendelea kuhamishwa baada ya maji kufurika Kwa usiku mmoja tu na kufunika maelfu ya nyumba na miundombinu katika majiji ya Orenburg, Syberia na Euros nchini...
3 Reactions
9 Replies
128 Views
Hakika naona sasa ni Wakati sahihi kwa Serikali na Mifuko husika kutoa ELIMU juu ya KIKOKOTOO na Mafao ya Wastaafu ili kuwajengea Uelewa mpana Watumishi wa Umma na Wastaafu watarajiwa. KIKOKOTOO...
3 Reactions
36 Replies
386 Views

FORUM STATS

Threads
1,845,891
Posts
49,400,080
Members
665,764
Latest member
ASHELYJUMELY
Back
Top Bottom