Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimejiuliza sana swali hili bila kupata majibu. Nini kinakwamisha maendeleo ya biashara ya gas ya KUENDESHA VYOMBO vya moto hata nchini? Baadhi ya maoni ya wadau ni kwamba Serikali haijatilia...
0 Reactions
1 Replies
52 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
120 Reactions
505K Replies
28M Views
Hapana shaka CCM ni SSH: ACT-Wazalendo ni ZZK: CHAUMMA ni HRS: CHADEMA ni nani? Maoni yangu; -Chadema wange 'vujisha' mgombea wao ili wananchi wamzoee, wampime ....kusudi, ikifika 2025...
1 Reactions
9 Replies
156 Views
Kumekuwa na utata juu ya gharama za ujenzi wa uwanja mpya wa mpira jijini arusha, wananchi wamehoji sana na kuonekana kutokukubalina na gharama na hasa wakilinganisha na gharama za Uwanja wa...
0 Reactions
10 Replies
128 Views
Wasomi wengi wanajidanganya kwamba kuonekana civilized ni kuzaa watoto wa chache, Baba angu mdogo alikua na utani wa kutuambia kwamba unazaje watoto wawili we ni Mkristu? kumbe siku hizi hata...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Shirika la umeme Tanesco limekuwa likihujumiwa na watendaji wake Kwa maslahi binafsi na ya Kisiasa Ili kuikomoa Serikali. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati na NWM Dotto Biteko baada ya...
1 Reactions
1 Replies
19 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
915 Reactions
1M Replies
38M Views
Onsale🚘🚘 Nissan X-Trail New Model Price : 32ml Year: 2014_2015 Cc 1990 Km: 9990 Colour: GREEN Fog Light ✅ 7 SEAT CAPACITY ✓ 2WD & 4WD ✅ Digital Dashboard ✅ Mirror Winkors ✅ Tyre Michelin ✅...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Sina sababu ya kueleza mengi sna kuhusu Elimu na investment kwa kuwa kila mahali yanazungumzwa na kurudiwa rudiwa. Lakini watu wote wanasahau element muhimu sana ya network. Network ni namna...
22 Reactions
20 Replies
453 Views
Ilani ya CCM 2020 - 2025 inatekelezwa wapi? Mbona yaliyoandikwa kwenye ilani hiyo ya kurasa 303 hayaonekani kutekelezwa? Mfano ilani hiyo imetaja flyover kibao ikiwemo pale Mwenge mbona haijengwi...
3 Reactions
23 Replies
505 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,490
Posts
49,203,760
Members
664,040
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom