Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Leo nimepanda daladala naenda mjini kwenye mishe mishe, seat ya mbele alikaa mdada mmoja hivi alikua busy anachat kama mnavyojua macho hayana pazia nikabahatika kusoma ujumbe mmoja nanukuu" Emma...
6 Reactions
16 Replies
17 Views
Kuna ajali mbaya sana imetokea mlandizi. Bus moja limegonga lori la mafuta na kusababisha moto, mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali. l Lakini hii Morogoro Road kwa nini serikali haijali...
1 Reactions
37 Replies
599 Views
Kutokuwa tayari kula na watu. Kuna dogo mmoja anafufua na kuuza PC kwa bei rahisi. Alinifuata anaomba mtaji na hataki kukopa benk. Nikamwambia sasa mimi nitawekeza kiasi kadhaa alafu katika hiyo...
7 Reactions
13 Replies
614 Views
Je, Mungu ni muweza wa yote? Kama jibu ni ndiyo, basi tukubali mema na mabaya yote yake, yote mema na mabaya yanayo endelea ulimwenguni kote yeye ndio muhusika. Ukiona unamchagulia yapi anafanya...
10 Reactions
88 Replies
902 Views
Washabiki wa simba sasa hivi kila mmoja anachekelea kwa ushindi wa kesho dhidi ya al ahaly yaan wanaingia na matokeo mfukoni kesho wakifungwa wataanza tena nyimbo zao za kumlaumu kikosi chao...
1 Reactions
1 Replies
24 Views
Wacha nikavute mibangi yangu. Ripoti ya cag imeshanizingua kabisaaaa. Amepewa sasa mama. Yani mama ndio raisi.... (malizia.)
1 Reactions
0 Replies
1 Views
Zipo taarifa kwamba Serikali ya Tanzania imekataa ombi la Mohamed Dewji la kutaka kufunga kiwanda chake cha chai. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amemuomba Bwana Dewji kufanya majadiliano na...
9 Reactions
108 Replies
4K Views
History is the study of past,present and future events maana hii nazani nwaliosoma o level ndiyo walikuwa wanaitumia katika mitihani,historia ya bara la afrika imeandikwa kwenye waandishi tofauti...
1 Reactions
2 Replies
20 Views
Promota wa Tamasha la Pasaka, Mtangazaji wa vipindi vya kwaya na Mgombea wa nafasi mbalimbali za uongozi huko CCM, Bwana Alex Msama ametajwa kuwemo kwenye 3 bora ya Matapeli Papa wa Viwanja DSM...
15 Reactions
68 Replies
4K Views
YALIYOMO NINI MAANA YA NICHE NA JINSI YA KUTENGENEZA 2 Kwanini sasa tunakuwa tunazungumzia Habari ya niche ??? 5 MANUFAA MAKUBWA YA KUMILIKI FOLLOWERS WA NICHE FLANI 14 WATU WANAOTAMANI...
1 Reactions
6 Replies
128 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,241
Posts
49,194,633
Members
663,952
Latest member
Eber Manya
Back
Top Bottom