Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habar JF, Nilichokiona uwanja Wa Taifa Al Ahly asipeleke Timu Yaana anainda Kufungwa goal 4+ Simba sc wameimaliza hii Mechi Kikatili mno Al Ahly hawana cha kukwepa Zaidi Ya Kutoingia Uwanjani...
9 Reactions
57 Replies
2K Views
Wanaukumbi. MPYA: 🇷🇺🇺🇦 Washukiwa wa shambulio la kigaidi la "Crocus" wanasema walikuwa wakisafiri kwenda Kiev kupokea zawadi waliyoahidiwa - RIA Washtakiwa katika kesi ya shambulio la kigaidi...
1 Reactions
13 Replies
366 Views
Nilikuwa ninacheki Tv ya kununua, nikashangaa Mewe ni Tv cheap sana. Yani Hisense,LG, TCL inch 55' kariakoo wanauza around 1.2M halafu Mewe yenye sifa hizo hizo wanauza laki 8. Sasa nikajaribu...
3 Reactions
29 Replies
354 Views
Hizi hapa Nukuu za Dkt. Biteko akifichua Mtao wa uhujumu miundombinu 1. ’'Tarehe 13 mwezi wa pili mwaka 2024, BAGAMOYO alikamatwa mtu mmoja pale akiwa na Lita 80 za mafuta ya Transfoma, kesi...
0 Reactions
4 Replies
63 Views
Habari wadau. Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA. Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm Amepata...
44 Reactions
332 Replies
12K Views
Wana JF, umofia kwenu. Sisi ambao tumeishi kwenye kupokea imani katika umoja na utofauti wa itikadi zetu, tunaelewa uwepo wa viumbe wa kipekee ambao waliumbwa kwa upepo na moto. Baadhi ya viumbe...
1 Reactions
8 Replies
94 Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza YANGA 2.45 vs 2.90 MAMELODI hapa kuna ishara gani? Ila wale Ijumaa kuu fc wamepewa 2.75 Vs 2.40 Taifa la Ahly . Wacha inyeshe.
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Unakuta unatembea na mke wa mtu mwisho kaja kaachika anakuja kwako umuoe wewe unaleta sababu ( hapo hapo uko sngle hujaoa) unalala mbele. Dada wa watu anabaki analia lia. Mume kamuacha na wewe...
1 Reactions
18 Replies
404 Views
Habari za Harakat za Maisha Wana forum. Mimi ni kijana WA Miaka 32 3 months ago nimekutana na demu, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikapata UTI nimekunywa flucamox mara 2, bila nafuu...
24 Reactions
374 Replies
17K Views
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana...
275 Reactions
51K Replies
18M Views

FORUM STATS

Threads
1,840,805
Posts
49,214,773
Members
664,091
Latest member
Mwivano Kaoneka
Back
Top Bottom