Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Vijana wetu wamezidiwa sana na vijana wenzao wa Senegal kwasababu. 1. Vijana wa Senegal wanapenda na kutafuta mbinu za kujua habari na sio habari za kulishwa na serikali. 2. Vijana wa Senegal...
2 Reactions
3 Replies
226 Views
Wajuzi ebu niambieni wana maana gani kusema tap tap screen yani nimepanga apa sinza basi Kuna vibint vinasoma chuo cha ustaw wa jamii mwenge, vikitoka chuo tuu wanaanza makerere yao mpaka usiku wa...
0 Reactions
11 Replies
103 Views
Kumekua na kawaida kwa watu wawili mnapokua kwenye mahusiano ya kimapenzi kuleteana visa vya hapa na pale especially mmoja anapogundua kwamba mwenzake anampenda sana. Mwanamke au mwanaume...
5 Reactions
34 Replies
549 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Hizi ni tetesi zinasambaa kwa kasi mtaani japo hakuna mtu aliyejitokeza kushuhudia na kuthibitisha ukweli wake Kwamba wahusika hawatokwenda...
0 Reactions
30 Replies
684 Views
Wanaukumbi. Afisa mkuu wa Iran ameonya kuwa Iran inaweza "kupitia upya" mafundisho yake ya nyuklia iwapo itashambuliwa na Israel. Israel inaendelea kuitishia Iran, tutafikiria kujenga silaha za...
3 Reactions
3 Replies
185 Views
Taarifa kutoka zinasema Helicopter ya Jeshi la Kenya imeanguka na kuwaka moto ikiwa na watu 9 ndani inasemekana pia alikuwepo General Ogola (CDF) Rais Ruto ameitisha kikao cha dharura
0 Reactions
1 Replies
25 Views
Sio siri kuwa shauku ya mh Januari Makamba kuutaka urais ni kubwa sana pengine zaidi ya ile shauku ya mh Lowasa. Lakini kwa bahati mbaya mapito yake hayatatofautina na yale ya Mh Lowasa...
1 Reactions
22 Replies
397 Views
Wafanyakazi kutoka nje ambao wamefanyakazi hapa nchini,Kwa miaka mingi,wanalipwa mafao yqo yote bila kujari kikokootoo,Kuna haja kuhusisha wenye mafao katika kuamua wapewe kiasi Gani,kuepuka...
0 Reactions
1 Replies
5 Views
Kwamba Iran ikishambulia kutokea ndani mwake huko Iran, basi hapo itakua ndio vita kamili ya moja kwa moja ambayo itapelekea anguko la Ayatollah na maugaidi yao. Ifahamike kwamba Israel imekua...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Kwa furaha kubwa sana kipindi cha Uncle Magu niliipongeza serikali kwa kuanza kuleta ndege mpya za air Tanzania nikiamini ya kwamba ushindani dhidi ya fastjet utaongezeka nasi abiria tunufaike...
0 Reactions
7 Replies
81 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,617
Posts
49,423,543
Members
666,015
Latest member
mzanzibar_4_real
Back
Top Bottom