Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ukitaka uwe mtafutaji wa hela halatu uje ulalamike hela huioni na inapatikana wewe kuwa kwenye mahusiano ya kudumu na rundo la wanawake, wanawake wa sasa ni chazo kimoja wapo cha kutufilisi...
9 Reactions
28 Replies
350 Views
hili ni janga lengine la Taifa ukiachana na hesabu,puli na wizi.
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Ndugu hawa damu, Kyle na Brianna wana-trend mitandaoni kwa kuchumbiana. Wanapanga kuoana na kupata watoto pamoja huku Mama yao anaunga mkono uamuzi wao. Hata hivyo, hawakujua kama wana undugu wa...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Huduma za hospitali ya rufaa Bugando zina changamoto hasa wodi za watoto, kwenye wodi za watoto wanaolazwa wanachanganya wazazi/walezi wa kiume na kike hali inayopelekea baadhi ya wasimamizi wa...
4 Reactions
20 Replies
212 Views
Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu...
19 Reactions
65 Replies
2K Views
kwakua sasa umeme umekua mwingi kuliko matumizi, sasa upungue bei, watu wanunue majiko ya umeme , tuwe tunatumia umeme na gas, mana kwanza sasa mkaa umekua kama madawa ya kulevya.
2 Reactions
3 Replies
47 Views
Nimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza. Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia...
39 Reactions
179 Replies
5K Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
381K Replies
10M Views
Huwa wanatuona kama vile ni watu ambao akili zipo chini sana. Lakini kuna mambo mengi yanayoendelea kwa mtu binafsi, familia, taasisi na serikali hakika ukiyapima utaona tu kuwa SISI NI KENGE...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Wizara ya Elimu imezipongeza shule zilizochukua hatua ya kuwapumzisha wanafunzi wake kwa muda kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha huku ikisema inaendelea kuwasiliana na Mamlaka ya Hali...
0 Reactions
2 Replies
29 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,185
Posts
49,477,423
Members
666,640
Latest member
Aliy seif
Back
Top Bottom