Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Utasikia, fulani alikuwa jambazi hapo zamani kwa sasa kaokoka, fulani alikuwa tapeli sugu hapo zamani kaamua kuokoka au fulani alivunja ndoa za wengi hapo zamani kaamua kuokoka, nonsense, ujinga...
10 Reactions
66 Replies
900 Views
Nayasema haya ni kutokana na kukutana na biblia ya ndugu yangu ambae ni mkatoliki, sasa wakati naisoma nikaona mbona inautofauti. Utofauti nimeukuta kwenye baadhi ya vifungu ndani ya biblia...
2 Reactions
206 Replies
4K Views
Nimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza. Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia...
33 Reactions
149 Replies
4K Views
Poleni Kwa majukumu wadau Kuna habari kuwa Rwanda imejipanga kuwapokea wakimbizi Toka ulaya. Ninacho dadisi ni je? Rwanda itafaidika kwa lipi? Nawasilisha
3 Reactions
50 Replies
830 Views
Leo Wabunge wa Zanzibar wamenifurahisha kwa namna wanavyoweza Kuwa Wamoja kwenye kutetea Maslahi ya Visiwa vyao Wabunge hao wamemwambia Waziri Jaffo wanapitisha Bajeti yake lakini ahakikisha kero...
0 Reactions
2 Replies
54 Views
Habari za muda huu wapendwa. Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde. Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako. Kuna nyakati unapitia msoto mkali mpaka...
21 Reactions
88 Replies
1K Views
Duuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chini Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombea🤡 Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
7 Reactions
30 Replies
374 Views
Habarini, Juzi kati nlitafakari kwanini utakuta binti mzuri tu mashallah, she is young, pretty, hana mtoto, unamfata unamtongoza anakukataa, unakubali maamuzi yake kiroho safi unaendelea na mishe...
3 Reactions
38 Replies
297 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
121 Reactions
510K Replies
29M Views
wakuu habari za muda huu,natumai mnaendeleo vizuri na poleni na majukumu ya siku nzima. Naombeni msaada mimi nimemaliza diploma ya clinical medicine(2023)so nimepata changamoto jinsi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,847,947
Posts
49,469,991
Members
666,531
Latest member
HilariCreator
Back
Top Bottom