Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Muda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji. Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
2 Reactions
93 Replies
4K Views
  • Poll
Great thinkers kama mnavyoona hapo, je chadema hiki chama mfu iwapo kikiamua kubeba u-Magufuli (Maguflication), je kinaweza kushinda uchaguzi kwa 57%
3 Reactions
27 Replies
208 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
511K Replies
29M Views
Naomba kufahamishwa sababu ya serikali kushindwa kuruhusu ujenzi wa vituo vya Gesi asilia kuenea nchi nzima. Nimeona wabunge wakilalamika bila kuadress issues haswa ni kwa nini Kuna vituo viwili...
5 Reactions
25 Replies
248 Views
KIA Airport mimepita karibuni nikitokea Doha, walishuka watalii zaidi 200. Bahati ilikuwa asubuhi nimeweza kuona vizuri mandhari na mazingira yake, ni Airport iliyo eneo zuri na panaweza...
3 Reactions
23 Replies
376 Views
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
136K Replies
8M Views
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo. Kwenye clip...
8 Reactions
43 Replies
2K Views
Kama kichwa Cha habari tajwa.... Sifa nlizonazo a)Dereve wa Gari zote( kubwa na Ndogo) kama mabosi wa Magari mpo humu nawakaribisha b)kama wewe ni Dereve unahitaji conductor pia nipo tayari...
4 Reactions
33 Replies
486 Views
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali. Matokeo ya kura...
29 Reactions
108 Replies
2K Views
Hili walilofanya gazeti la mwananchi lilikuwa ni kusudio kuu la kujaribu kuzidi kumtukana raisi samia kupitia mtangulizi wake marehemu Magufuli. Kama walivyosema familia kila anayemdhihaki...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,482
Posts
49,487,057
Members
666,757
Latest member
Tony brayer
Back
Top Bottom