Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wazazi wa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne 2023 wamepokea ujumbe mfupi wenye taarifa halisi za watoto kutoka Chuo cha Tabora Polytechnic kilichopo Tabora mjini. Ujumhe huo ulisomeka kuwa...
1 Reactions
4 Replies
162 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
120 Reactions
505K Replies
28M Views
Leo Mashabiki wa Vilabu vya Simba na Yanga wamehojiwa na Wanahabari (Media) na Kilichonishangaza hasa GENTAMYCINE ni kusikia Mashabiki hao wakitumia dakika Tano Kumsifia Rais Samia huku wakitumia...
5 Reactions
30 Replies
570 Views
CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema...
6 Reactions
34 Replies
516 Views
Kuna ajali mbaya sana imetokea Mlandizi. Bus moja limegonga lori la mafuta na kusababisha moto, mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali. Lakini hii Morogoro Road kwa nini serikali haijali...
2 Reactions
45 Replies
1K Views
MDOMO UNAUMBA, JINENEE MEMA. Miaka mitatu nyuma kulitokea kutokuelewana kati ya Jay Melody na Nandy ambapo Jay Melody alisikika akilalamika kuwa wakati Nandy hajawa msanii mkubwa Jay Melody ni...
1 Reactions
8 Replies
87 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
260 Reactions
156K Replies
4M Views
Habari wana JF, poleni na majukumu ya hapa na Pale 🤝. • Kuhusu hili suala, naona kama ni uraibu wa mke wangu kutazama katuni na watoto kila dakika. "[uende - urudi ni katuni kwenda mbele na...
25 Reactions
322 Replies
6K Views
Hii nchi ina vituko sana, kinacho itwa vita dhidi ya Ufisadi ni hadaaa kubwa sana, Raisi mwenyewe anajua fika kilicho nyuma ya Pazia. Kuna mtu wangu mmoja hivi ambaye ni Dereva wa mmoja wa Mabosi...
17 Reactions
60 Replies
4K Views
NAHITAJI CHUMBA(MASTER) YENYE CHUMBA KIMOJA MASTER NA JIKO, KIWE NDANI YA FANCE IWE KINONDONI AU MWANANYAMAKA KARIBIA NA BARABARANI. NICHECK WHATSAPP 0659741342
2 Reactions
9 Replies
147 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,266
Posts
49,195,419
Members
663,963
Latest member
Abel paschal
Back
Top Bottom