Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Inaonekana wametumia vidrone vya kawaida sana, picha zinazoonyeshwa ni kama zile drone za kwenye maharusi au wanazotumia kurekodia kwaya. Pia nimeshangaa gazeti la Jerusalem post kuweka picha ya...
3 Reactions
14 Replies
241 Views
Mbunge wa viti Maalumu Chadema ( kesi iko mahakamani) mh Kaboyoka amesema Kamati yake huwa inawaita na Kuwahoji Wote waliotajwa kwenye Ripoti ya CAG Kuwa wameiibia Serikali Wale wanaothibitika...
1 Reactions
5 Replies
145 Views
Serikali ya Iran imesema haijaona mashambulizi yoyote badala yake imezima majaribio ya drone za Israel tatu kwa kuzidungua kabla hajazijaleta madhara nchini mwake
1 Reactions
6 Replies
101 Views
Habari.. Ninaomba msaada wa kupata Baruapepe (E-mail) binafsi ya Katibu Mkuu Utumishi, Bwana Juma Mkomi.. Asanteni
1 Reactions
2 Replies
25 Views
Habari wana JF, Nimekua nikiishi Kwa muda mrefu nikiwaza nifanye jambo gani Ili angalau nipige hatua mbele? Lakini nmekuja kugundua jambo Moja ambalo ni ukweli mchungu, Ukiwa na Hela ni rahisi...
3 Reactions
15 Replies
174 Views
Habarini wana JF, Leo nimekaa nimewaza sana na kujiuliza maswali mengi ambayo nimependa kushare nanyi. Je, roho itakapotoka tutakua na hisia kua tumeshafariki? Tutaweza kuona matukio...
1 Reactions
8 Replies
84 Views
Kwa uelewa wangu, Pwani ni eneo kulikopita bahari au kwenye mwambao wa bahari. Swali langu ni hili, Dar es Salaam sio Pwani kwanini wakati bahari ipo? Mfano Kigamboni?
1 Reactions
35 Replies
384 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
922 Reactions
1M Replies
39M Views
Habari za muda huu....... Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq.......... ==== Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan Israeli...
11 Reactions
492 Replies
14K Views
Nimeona Taarifa Ya Utenguzi wa Mkurugenzi wa Mafia. Kiukweli Nimefarijika sana na Nimeona Kweli haki imetendeka na Imeonekana Ikitendeka.. Ni wazi kuwa Nchi imepata Viongozi waadilifu Na hasa...
3 Reactions
7 Replies
413 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,761
Posts
49,428,822
Members
666,048
Latest member
Simon silumbe
Back
Top Bottom