Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kimeumana hapa near planet Lodge Kin'gori mafuriko, hakuna gari kupita kwenda Moshi wala kuja Arusha, maji yameziba njia eneo la King'ori.
2 Reactions
4 Replies
75 Views
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amekabidhi magari matatu mapya kwa ajili ya Wakuu wa Wilaya za Rombo, Mwanga na Same, yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 600 ili kuongeza ufanisi wa...
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
382K Replies
10M Views
Muda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji. Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
2 Reactions
68 Replies
2K Views
Wengi wanamtuhumu Magufuli kuwa alikuwa ana mpango wa kujiongezea muda wa kukaa madarakani baada ya miaka yake 10 kupita, Lakini zaidi ya mara tano Magufuli alikanusha na kusema hataongeza hata...
16 Reactions
93 Replies
2K Views
Kutokana na rasilimali nyingi bara la Africa lingeweza kuwa mbele sana kwenye maendeleo na hivyo kuwafanya wananchi wao kuishi maisha mazuri. Tatizo lipo kwenye wizi. Mtu mweusi atakuwa na chembe...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Natoa tu angalizo kwa sababu siyo rahisi Wanafunzi kujidhibiti kumkimbilia Mbowe na kupata Baraka zake Watoto na Vijana wanaamini kusalimiana na mtu mwenye Mafanikio ni Baraka Ni hilo tu...
1 Reactions
5 Replies
6 Views
Nimekuwa najiuliza wakati Bashite yupo nje ya Uongozi alikuwa haonekani kuwatembelea viongozi wa dini na kuwataka wamwombee na kumbariki. Mara baada ya Kuteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM...
7 Reactions
59 Replies
1K Views
Kuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume...
13 Reactions
159 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,368
Posts
49,484,012
Members
666,712
Latest member
MC-MCHOKOZI
Back
Top Bottom