Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Rais Samia Suluhu ameongelea hali ya mafuriko nchini. Ametoa pole waliokumbwa na mafuriko ikiwemo Rufiji, Morogoro na Arusha. Pia ametoa pole kwa ajali ya wanafunzi iliyotokea leo jijini Arusha...
0 Reactions
7 Replies
396 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
162K Replies
4M Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
511K Replies
29M Views
Maandamano yanayoambukizika ya vyuo vikuu maarufu nchini Marekani yameanza kuihofisha serikali kuu ya nchi hiyo. Nguvu zimetumika kuwatawanya wanafunzi wa chuo kikuu cha Columbia baada ya spika...
0 Reactions
13 Replies
473 Views
Kutoka kwa Emmaus Bandekile Mwamakula Ndugu Watanzania! Usiku huu tumeongea na mawakili wasomi Dickson Matata na Hekima Mwasipu ambao ni mawakili wa Malisa GJ na Mhe Boniface Jacob na tumejulishwa...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Tangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi. Leo marafiki zake wakaribu...
7 Reactions
22 Replies
105 Views
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali. Matokeo ya kura...
37 Reactions
196 Replies
4K Views
Zoezi la utiaji saini mkataba wa kukarabati uwanja wa Uhuru uliopo Dar es Salaam baina ya serikali na mkandarasi kutoka China. Ukarabati huu unatarajiwa kufanyika kwa muda wa miezi 12 na...
1 Reactions
14 Replies
404 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kihutubia Taifa kuelekea Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar...
2 Reactions
6 Replies
7 Views
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji...
5 Reactions
8 Replies
9 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,514
Posts
49,488,013
Members
666,767
Latest member
JBLEMUTZ
Back
Top Bottom