Usi force kutafuta mpenzi kwaajili ya kumkomoa X , humkomoi unajikomoa mwenyewe unaweza ukajikuta unaruka mkojo halafu unakanyaga kinye* muda mwengine tuliza akili kwanza ujifunze wapi...
Nimekuwepo miezi kadhaa jijin Mwanza nikitafuta vibarua pia kazi niliyosomea
Diploma marketing and public relations
Lakini fursa huku zunaonekana ni ngum Sana kupatikana
Mwenyejii naomba...
Ndugu zangu Watanzania,
CCM Ina viongozi majasiri ,imara,hodari, shupavu na madhubuti sana.ina viongozi wasema kweli na wasioona haya kuusema ukweli,ina viongozi ambao wakati wote wanazungumza...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Allahu Akbar.
Mkuu wa majeshi ya Israel kwa kauli yake mwenyewe, amekiri kushindwa vita na Hamas.
Israel imethibitisha kuwa imeshindwa kufikia malengo yake ya vita katika Ukanda wa Gaza wakati...
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6...
Hii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia...
Makamanda wa IDF: Haiwezekani kuwashinda Hamas na kuwaokoa mateka - NYT
Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa Google.
Malengo mawili ya kuwaokoa mateka na kuwaangamiza Hamas hayawezekani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.