Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Feni la chini mtungi mdgo wa gas empty(orxy)na dish la azam vyote kwa pmj nahitaji 120000
0 Reactions
4 Replies
71 Views
  • Poll
Yaani mwanamke/mdada anatupiwa maneno machafu ya kudhalilisha au kushikwa sehemu ambazo sio stahiki(wanaume) pasipo ridhaa yake na hawezi kusema chochote wala kukataa kwa hofu ya kupoteza mteja...
4 Reactions
7 Replies
233 Views
Mpira wetu umekua sana sasa hivi aisee,hii sio kawaida mujue,Waandishi zaidi ya 100 na Ishirini walihudhuria kwa Mkapa, kwenye mazoezi ya timu ya Simba SC. elewa neno Waandishi sio Muandishi😂 ✍️
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k...
15 Reactions
204 Replies
2K Views
CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema...
12 Reactions
105 Replies
2K Views
Wababe walioitesa dunia wanazidi kuporomoka mmoja baada ya mwengine.Miongoni mwao ni taifa la Uiengereza ambalo kwa ujanja mkubwa katika karne iliyopita walitawala nchi nyingi zaidi duniani...
9 Reactions
60 Replies
2K Views
Kumekuwa na utata juu ya gharama za ujenzi wa uwanja mpya wa mpira jijini arusha, wananchi wamehoji sana na kuonekana kutokukubalina na gharama na hasa wakilinganisha na gharama za uwanja wa...
0 Reactions
1 Replies
12 Views
Hawa jamaa huwa wanaijihisi kuwa wao ndio wanajua kumuabudu Mungu kuliko wengine, Mungu muumba wa dunia aliona mbali sana, kuwanyima mamlaka hawa jamaa. Licha ya wengi wo kuisoma dini vilivyo...
2 Reactions
9 Replies
88 Views
Mwanamke myenye miaka 27+ na hajaolewa wanakuwaga na stress Sana, Kuna baadhi nawaonaga niliskuli nao na wengine tulikuliaga kitaa kimoja Wana waza Sana kiasi kwamba nawaonea huruma, zifuatazo ni...
7 Reactions
97 Replies
1K Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watu kumi na mbili kwa tuhuma za kukutwa wakila mchana hadharani kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao wanaifanya kuwa...
11 Reactions
256 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,413
Posts
49,201,207
Members
664,013
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom