Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Sikukuu jamani April 20. Inaitwa 4-20 Ni siku ya kula bhange duniani 🤫😆😆 Basi hata tusipopumzika tuanzishe mjadala wa kitaifa kuhusiana na fursa ya zao la bange nchini. Au mnasemaje masela?
0 Reactions
4 Replies
36 Views
Inasikitisha sana hii ndio nchi inayoitwa ya amani. Vyombo vinavyoitwa vya ulinzi na usalama vimejaa machatu. Mkoloni mweusi hafai hata kidogo.
0 Reactions
2 Replies
73 Views
The Weekend - Out of Time
17 Reactions
3K Replies
64K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
265 Reactions
161K Replies
4M Views
Uwe unaamka umwangalie je kajifunika vizuri shuka mwenza wako. Ukiona hajajifuka mfunike vizuri sijasema ukimuona Sele au Aisha yuko wazi usimtamani ukaanza papaso ili... Ila cha saa kumi huwa...
12 Reactions
81 Replies
2K Views
Nitakuwa natokea maeneo Kololo karibu kabisa na ulipo Uwanja wa Ndege ( hasa Helicopter za Kijeshi na ya Mheshimiwa Rais kwa sasa ) wa Kololo Airstrip, hivyo kwa Watanzania mliopo hapa Kampala...
4 Reactions
27 Replies
778 Views
Nimewiwa kuuliza hili swala dunia inaenda less sana..kwa namna wanavyotupiana makombora hawa Israel na Iran inafikirisha sana. Sisemi kwa ubaya ila ikatokea dude limekosea njia mara gweee uelekea...
0 Reactions
4 Replies
42 Views
Video inajieleza PIA SOMA: - Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)
5 Reactions
95 Replies
1K Views
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema “Baada ya kusikiliza kwa kina maelezo ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenari Venance Mabeyo aliyoyatoa Machi 16, 2024, nimeshawishika na ninawashawishi Wabunge...
15 Reactions
74 Replies
2K Views
Waziri Mkuu majaliwa ameipongeza TANESCO kwa kuzalisja umeme zaidi ya mahitaji yaliyopo sasa, "Leo tarehe 19 April 2024 uzalishaji wa umeme ni mkubwa, shirika letu la TANESCO limemudu kuzalisha...
0 Reactions
25 Replies
529 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,898
Posts
49,434,041
Members
666,121
Latest member
cosmas obadia mafuru
Back
Top Bottom