Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Serikali imedhamiria kusaini mkataba wa ubia na Shirika la Emirates National Group (ENG) lenye makao yake makuu Dubai ili kuendesha usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dar (DART) awamu ya 1 mwezi...
18 Reactions
144 Replies
5K Views
Bandari imeshindikana Hadi mmewapa DP world! Sasa na mabasi Tena jamani!!?haya mabasi ya mwendokasi TU haya yamewashinda serikali!!?yaani nchi imeshindwa kusimamia mabasi TU yaani imeshindwa...
1 Reactions
32 Replies
122 Views
Salaam,Shalom. Mimi ni Mtanzania mzalendo wa Nchi yangu nzuri Tanzania, naijua thamani ya Bendera ya Taifa LANGU. Bendera yetu ya Taifa Ina RANGI kuu nne, Bluu, Njano, Kijani na Nyeusi. RANGI...
3 Reactions
43 Replies
490 Views
Kesho Ni ijumaa kuu kwa kifupi Ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia ktk mateso yake Najuwa hatutakula nyma kabsa je Ni hatari na haramu nikila samaki Msaaada naombeni
1 Reactions
49 Replies
319 Views
Zanzibar ni dola la kiislam? serikali ya Zanzibar inaongozwa na katiba ya kiraia au Quran? mahakama zinashtaki waliokamatwa wanakula wakiwemo wakristo kwa sheria za kiislam? Kaimu Kamanda wa...
0 Reactions
13 Replies
151 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika...
0 Reactions
4 Replies
264 Views
Facial expression na kauli za Mama leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya CAG na TAKUKURU ni kama vile Mama hakuwa na raha na GAG zaidi mzani ulielemea kwa TAKUKURU
2 Reactions
10 Replies
58 Views
Nimeshangaa kusikia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umeikopesha Serikali Shilingi billion 208 na hazijalipwa hadi Leo. Inasikitisha sana. Waziri husika ajitafakari kwa kweli.
6 Reactions
56 Replies
2K Views
Huyu ni BobRisky wa Nigeria ambae amejibadilisha na kuwa na muonekano wa kike.
1 Reactions
45 Replies
520 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,400
Posts
49,200,753
Members
664,016
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom