Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Fuatilia yanayojiri wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU kwa mwaka 2022/23, Ikulu ya Chamwino, Dodoma, leo Machi 28, 2024...
12 Reactions
178 Replies
8K Views
Kwema Wakuu! Funga ni yako na dini yako na Mungu ni wako. Funga yako sio funga ya taifa au ya dunia. Ni yako wewe binafsi na Watu wanaoamini katika kile unachokiamini. Huyo mungu unayemuamini...
7 Reactions
40 Replies
41 Views
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
6 Reactions
101 Replies
1K Views
CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema...
13 Reactions
109 Replies
2K Views
ni miongoni mwa chaguzi rahisi mno, na ni muhimu sana kwa waTz. ni kuhusu hoja na sera za maendeleo dhidi ya malalamiko, kelele na ghadhabu za waliokosa hoja na walio poteza uelekeo. ni baina ya...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Amani iwe nanyi. Kwa wenyeji wa DSM na wazoefu wa hizi spa(ofisi za massage) nina swali kwenu. Mimi ni professional spa therapist (nafanya body massage, pedicure, manicure, facial treatments...
37 Reactions
268 Replies
12K Views
Kwako mkurugenzi wa TANOIL fanya yafuatayo kuongeza mauzo kwenye vituo vya mafuta vya TANOIL ili kampuni ipate faida. Kwanza kabisa naomba kumshukuru Rais Dkt Samia Suluhu kwa kuruhusu uhuru wa...
1 Reactions
43 Replies
598 Views
CAG Kichere amesema Hasara nyingine wanayoingia NHIF inatokana na Wastaafu na Wenza Wao kufaidika na Fedha za Mfuko huo Bila Wao kuchangia Kicheere amesema Wastaafu na Wenza Wao wanaugharimu...
2 Reactions
54 Replies
2K Views
Kanisa Katoliki laanzisha bima yake ya afya nafuu kwa ajili ya waumini wao baada ya kuona wanahangaika Safi sana..Mambo ya bima ya afya serikali iachane nayo iachie sekta binafsi kama mambo...
3 Reactions
7 Replies
89 Views
Mimi ni mkristo, mpenda haki. Nimekuwa nikiwatetea sana wapalestina katika platforms za social media kote nilipo. Hakika kitendo kinachoonekana katika video niliyoambatanisha kimeniumiza...
1 Reactions
47 Replies
428 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,502
Posts
49,204,140
Members
664,042
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom