Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mabinti wengi wanadanga ili kupata mitaji ya biashara lakini mwisho wa siku wakipata mitaji wanashindwa kuendesha biashara na wanajikuta wakifirisika na kurudia tena kudanga/Kuuza Mbususu.
17 Reactions
113 Replies
2K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
915 Reactions
1M Replies
38M Views
Natumaini wote tuko pw kabisa kwa uwezo wa mungu iv kuna ulazima gani kwa hawa ndugu zetu wanao jiita wachungaji sijui waubili sijui mitume maana naona kama ushuhuda mwingi umejaa uwongo sana na...
0 Reactions
3 Replies
26 Views
Habari wakuu, nauliza kama kuna mtu yeyote ambae amewahi kutumia platform ya Linkedin kupata kazi. Nauliza kwa sababu ni app ambayo ndiyo hasa inabeba jukumu la kutangaza na kutafutia kazi. Watu...
5 Reactions
119 Replies
11K Views
Wakuu Weki Iendelee. Kumekuwa na Malalamiko Mengi sana Dhidi ya Wamiliki Wa Bar Ya Bambalaga iliyoko Dodoma Kwamba Wanawabagua bahadhi Ya Wateja. Either Kwa Kuangalia miili Au Personality ya Mtu...
21 Reactions
193 Replies
29K Views
Ewe mtumishi wa serikari usijiulize utapata wapi mkopo kwa vigezo nafuu na riba nafuu jibu ni Banc ABC hii ni taasisi ya kifedha inayo jihusisha na utoaji wa mikopo kwa watumishi wa serikali...
0 Reactions
4 Replies
98 Views
Nachukia ndoa na wala sipendi watu wanaofurahia ndoa zao na wala nawachukia those people who start to establish relationship na kwamba ndoa ni utapeli na kupotezeana muda tu and I hate those woman...
5 Reactions
25 Replies
131 Views
P Diddy namkubali sana, ndiyo mwanamuziki ninayemkubali duniani since miaka ya 90 huko alivyokuwa anapiga kazi na Mase. Ila jamaa nyuma ya kamera ni mafia kupita kawaida. Unaambiwa ni Mafia...
24 Reactions
208 Replies
10K Views
1. Maryland Bar, ITV, Mwenge. 2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama. 3. Chagga Bite Bar, Makumbusho. 4. Mori Bar, Sinza. 5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani. 6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road...
30 Reactions
315 Replies
11K Views
Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri. Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali? Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,365
Posts
49,199,129
Members
664,001
Latest member
Acciboy
Back
Top Bottom