Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mwaka jana mwishoni niliexperience hio kitu, asikwambie mtu. Acheni mapenzi yawe kitu chenye nguvu kubwa duniani. Mimi nimekua nikiona watu wanalizwa na mapenzi, ila niliwachukulia wanyonge wa...
9 Reactions
308 Replies
8K Views
Moderator leo mmenikera sana tena sana nimeanzisha thread yangu, halafu mnaiunganisha na thread nyingine Mbaya zaidi mmeunganisha kwenye thread ya mtu ambaye sijawahi kumkubali hata kidogo Aisee...
0 Reactions
6 Replies
30 Views
Yaani tusijidanganye hata siku moja. Watu weusi tunajisemaga tuko na maguvu etc.. Ila kwa jinsi hawa wenzetu ngozi nyeupe wanavyopiga kazi speed yao kama umekaa kibwegebwege utakuwa unalia kila...
20 Reactions
84 Replies
2K Views
Hii itukumbushe kuwa hii Dunia tunapita, na itusaidie kupunguza kama sio kuacha kabisa kiburi na kujipa umuhimu. Waliowahi kuishi na kuondoka ni wengi zaidi ya waliopo leo, na kila mmoja kwa...
30 Reactions
170 Replies
3K Views
Jamaa yangu alibeti mkeka wake fresh... Ikabaki team moja inaongoza 2 bila dakika ya 78 na cashout nzuri tu inapatikana.. Akaamua asubirie game iishe apate milioni zake... Zikaongezwa dakika...
0 Reactions
6 Replies
87 Views
Taarifa haijakamilika rasmi, kama kuna yeyote atakaye pata updates zaidi, basi unaweza kutuletea taarifa iliyokamilika 🤝. • MwenyeziMungu awaweke mahali pewa wale wote waliofikwa na umauti...
6 Reactions
55 Replies
887 Views
Hapo nyuma kampeni na uhamasishaji ulikuwa mkubwa sana, na wengine walisikika wakisema, "Wanawake Tunaweza." Sasa, athari zake zimeanza kuonekana: wanawake wenye watoto wasiokuwa na baba wamekuwa...
19 Reactions
176 Replies
3K Views
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki? Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana...
27 Reactions
139 Replies
3K Views
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa. Na kama hamtaniona hapa JF...
34 Reactions
277 Replies
3K Views
Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali...
30 Reactions
511 Replies
11K Views

FORUM STATS

Threads
1,846,035
Posts
49,404,769
Members
665,809
Latest member
Edga wakota
Back
Top Bottom