Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Akifungua Maonesho ya wiki ya Nishati,Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko ametangaza kumalizika Kwa mgo wa Umeme Nchini. Dk. Biteko amesema wamefanikiwa kutekeleza Agizo la Rais...
5 Reactions
62 Replies
1K Views
Matusi,kutukana limekuwa jambo la kawaida mitaani na mitandaoni.Ni ipi adhabu ya kutukana bila kujali wadhifa wa anayetukanwa? Ni kipi mtu anatakiwa kufanya endapo atatukanwa?
2 Reactions
4 Replies
49 Views
Hivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat? Iko hivi... Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat...
12 Reactions
129 Replies
1K Views
Sometimes kuchomoko kwenye cycle ya umasikini inahitaji upate mtu wa kukushika mkono. Unfortunately waswahili hatuna ustaarabu wa kusaidiana tunadhani ukimsaidia mtu atakuzidi mafanikio Haya...
11 Reactions
35 Replies
471 Views
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia...
0 Reactions
3 Replies
69 Views
1. Hajatokea Natanyahu kutia neno hadharani tokea kipigo cha jumapili. 2. Inafahamika amekuwa na vikao vya baraza la vita kila siku tokea siku hiyo. 3. Ziarani Israel David Cameron kaliweka...
5 Reactions
33 Replies
1K Views
Inafikirisha sana kaaa kwa jicho la kimpira halaf tumia akili ya kawaida kabisa kuliwaza hili, Usitumie hata Akili yako ya Form 4 wala form 6 tumia ile akili ya kuvukia Barabara tu Mkuu. Waza...
12 Reactions
64 Replies
2K Views
Haya jamani, Kuna kampeni inatembea duniani inaitwa self love. Wale watafsiri wa lugha sanifu ya Kiswahili waje watuambie, self love ina maana gani? Kama una picha weka.
9 Reactions
83 Replies
735 Views
Wakuu kuna mambo huwa yanatokea unabaki unajiuliza ni mimi kweli yamenikuta. Kifupi nilikuwa sikuwahi waona kunguni mpaka umri huu zaidi ya kusikia story tu. Na akili yangu iliamini kunguni ni kwa...
14 Reactions
106 Replies
2K Views
Huo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga Anatembea na Exodus 14:14 Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump 😂😂🔥 Kwenu Lucas na...
4 Reactions
40 Replies
236 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,422
Posts
49,417,100
Members
665,947
Latest member
Tikaprincess
Back
Top Bottom