Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watu kumi na mbili kwa tuhuma za kukutwa wakila mchana hadharani kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao wanaifanya kuwa...
11 Reactions
301 Replies
5K Views
Wanaukumbi. Mkuu wa Huduma ya Usalama ya Shirikisho la Urusi alisema leo, "Marekani, Uingereza, na Ukraine, ndizo zilizohusika na shambulio la ukumbi wa tamasha la Moscow". Hayo ni madai mazito...
8 Reactions
74 Replies
2K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
915 Reactions
1M Replies
38M Views
Huyu ni Mwanaume ambae amejibadilisha na kuwa na muonekano wa kike.
1 Reactions
72 Replies
1K Views
Kukamata mtu kisa amekula mchana siyo ukandamizaji wa haki za binadamu? Tundu Lisu mbona haukemei? Hili wimbi la ukamataji watu huko Zanzibar limeagizwa na nani? Katiba ya Tanzania inasemaje?
0 Reactions
15 Replies
126 Views
Hawa jamaa huwa wanaijihisi kuwa wao ndio wanajua kumuabudu Mungu kuliko wengine, Mungu muumba wa dunia aliona mbali sana, kuwanyima mamlaka hawa jamaa. Licha ya wengi wo kuisoma dini vilivyo...
7 Reactions
28 Replies
196 Views
Kumekuwa na utata juu ya gharama za ujenzi wa uwanja mpya wa mpira jijini arusha, wananchi wamehoji sana na kuonekana kutokukubalina na gharama na hasa wakilinganisha na gharama za uwanja wa...
0 Reactions
5 Replies
57 Views
Habari wana theolojia. Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu...
1 Reactions
2 Replies
105 Views
Kesho mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa...
0 Reactions
6 Replies
7 Views
Kesho ni ijumaa kuu kwa kifupi ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia katika mateso yake Najua hatutakula nyma kabisa je ni hatari na haramu nikila samaki? Msaaada naombeni
3 Reactions
79 Replies
829 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,417
Posts
49,201,453
Members
664,013
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom