Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mpira wetu umekua sana sasa hivi aisee,hii sio kawaida mujue,Waandishi zaidi ya 100 na Ishirini walihudhuria kwa Mkapa, kwenye mazoezi ya timu ya Simba SC. elewa neno Waandishi sio Muandishi😂 ✍️
2 Reactions
3 Replies
49 Views
Mwanamke myenye miaka 27+ na hajaolewa wanakuwaga na stress Sana, Kuna baadhi nawaonaga niliskuli nao na wengine tulikuliaga kitaa kimoja Wana waza Sana kiasi kwamba nawaonea huruma, zifuatazo ni...
7 Reactions
104 Replies
1K Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watu kumi na mbili kwa tuhuma za kukutwa wakila mchana hadharani kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao wanaifanya kuwa...
11 Reactions
268 Replies
5K Views
Kukamata mtu kisa amekula mchana siyo ukandamizaji wa haki za binadamu? Tundu Lisu mbona haukemei? Hili wimbi la ukamataji watu huko Zanzibar limeagizwa na nani? Katiba ya Tanzania inasemaje?
0 Reactions
6 Replies
51 Views
Hawa jamaa huwa wanaijihisi kuwa wao ndio wanajua kumuabudu Mungu kuliko wengine, Mungu muumba wa dunia aliona mbali sana, kuwanyima mamlaka hawa jamaa. Licha ya wengi wo kuisoma dini vilivyo...
4 Reactions
14 Replies
133 Views
Ibaki kuwa siri ya Rais na watu wake baasi, maana kiukweli pamoja na madudu yote yanayoanikwa lakini hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua. Zaidi ya kuleta manung'uniko na hasira kwa wananchi...
12 Reactions
33 Replies
515 Views
Kesho ni ijumaa kuu kwa kifupi ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia katika mateso yake Najua hatutakula nyma kabisa je ni hatari na haramu nikila samaki? Msaaada naombeni
2 Reactions
71 Replies
759 Views
Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k...
15 Reactions
215 Replies
2K Views
Dunia haina siri, waislamu wamefunguka kwamba ule msikiti ambao JPM alikuwa anatamba kuwaombea waislamu wajengewe kumbe ni kazi iliyoanza enzi ya JK mpaka Mufti akasafiri kwenda kwa nchi...
9 Reactions
380 Replies
12K Views
Habari wadau. Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA. Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm Amepata...
40 Reactions
303 Replies
11K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,417
Posts
49,201,358
Members
664,013
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom