habari Wana jf
Binafsi Mimi nipo tofauti kidogo na wenzangu ...kwani sipendi hiyo siku ya mechi ifike kwani naona taifa litakuwa kwenye aibu nzito [emoji24] pale ambapo kipindi Cha kwanza ubao...
Yaani napalangana kuuza kangala na huku napiga kazi..
Kuna dada mmoja alinikuta kazini (Kapuni naliweka jina lake.) Aliponikuta kazini alikuja hajui kitu. Nikamfundisha kazi.
Baada kujua kazi...
Naomba ushauri cha kufanya ili niweze kusave pesa zangu maana nikikamata milioni 1 ndani ya Wiki moja inaisha, mpaka najiona nina jini Makata fedha...😁😁😁
Baada ya kifo cha binadamu tumeelezwa kutakuwa na machaguo mawili kwenda kwenye uzima au moto wa milele.
Moto unaozungumziwa hapo kwa wadhambi siyo huu tuuonao wenye nishati ya joto kali.
Moto...
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania na kazi iendelee.
Kwa ndugu zangu wakristo nawatakia kwaresma njema na ndugu zangu waislamu nawatakia swaumu njema.
Ikiwa imebaki siku moja...
Hapa ngoja nizungumze kitu kimoja, muone jinsi dunia ilivyo. Hii dunia ina watawala wake ambao kimsingi si wale wanaomuabudu Mungu, kuna mambo mengi wanataka kuyaficha, hawataki wewe uyajue hata...
Serikali imedhamiria kusaini mkataba wa ubia na Shirika la Emirates National Group (ENG) lenye makao yake makuu Dubai ili kuendesha usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dar (DART) awamu ya 1 mwezi...
Habari!
Nilipomaliza form 6 zikatoka nafasi za kwenda jeshi wanaita "kwa mujibu" basi nikaangaza macho yangu kwenye orodha nikaona "Ephen - Rukwa"
Basi nikafurahi sana, furaha haikua kwasababu...
Abarini za muda huu wana forum. Nauliza tu ili kupata ufahamu juu ya ardhi maeneo ya Kidimu huko pangani Pwani imefikia wapi kwa maelekezo aliyotoa Mh. Makonda ya kugawiwia viwanja kwa wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.