Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Shehe mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar amesema Ijumaa itakuwa ni siku Maalumu ya kuliombea Taifa juu ya mvua zinazoendelea kunyesha Mungu wa Mbinguni mbariki Mufti Abubakar
2 Reactions
14 Replies
84 Views
Kama ilivyokawaida sisi tusiotishwa na propaganda mbalimbali huwa tunafanya utafiti kwanza kabla ya kuanza kupiga kelele. Leo nitaanza kuielezea Iran kuhusu Historia yake, Maendeleo yake na hali...
8 Reactions
101 Replies
2K Views
Siku moja jioni Rais Obama alimshauri mkewe wakale dinner mtaani huko Washington katika mgahawa wowote wa watu wa kawaida. Wakakubaliana kisha Obama akatoa taarifa kwa walinzi wake wawe tayari...
5 Reactions
14 Replies
249 Views
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
78 Reactions
13K Replies
3M Views
Kwa mujibu wa takwimu kutoka kwenye viambata vya Bajeti ya Tamisemi 2024/2025,Ifuatayo ndio Mikoa 10 yenye Mapato mengi Tanzania Kupitia Halmashauri zake.Namba ziko kwenye Billions Tanzania...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa...
9 Reactions
134 Replies
3K Views
Kuna msichana mmoja tulisoma wote nursery na primary! Nilikua nime crush kwake ila sikuwahi mwambia niliogopa itakua noma. Skuli za mission na mapenzi ni vitu viwili tofauti. Bahati mbaya...
1 Reactions
22 Replies
193 Views
Niliwahi kusikia habari za EAZY-E kwamba yeye ndiye GodFather of Gangsta Rap. Na zaidi nikaja kusikia kuwaKwa miaka ya 1986-1992 ni EAZY-E Pekee ndiye rapper aliyekuwa na pesa nyingi zaidi kuliko...
11 Reactions
100 Replies
1K Views
Hii ndio Taarifa iliyokuja leo kutokea Bungeni, kama ilivyotolewa na Mohamed Mchengerwa ambaye ni Waziri wa TAMISEMI. == Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema katika mwaka 2024/25...
7 Reactions
25 Replies
324 Views
Niliwahi kutoa ushauri kwa Yanga kujikita kwenye kombe la shirikisho maana wameonyesha wana uwezo wa kukomaa na kuchungulia ubingwa kabisa. Baada ya ushauri ule nilishambuliwa sana na mashabiki...
2 Reactions
13 Replies
299 Views

FORUM STATS

Threads
1,845,967
Posts
49,402,296
Members
665,796
Latest member
shilax jr
Back
Top Bottom