Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna taarifa kuwa mashabiki wa Simba kutoka Mbeya wamepata ajali maeneo ya Vigwaza Pwani, wakiwa njiani kuelekea Dar, kushuhudia mechi ya Simba na Ahly. Ajali hii imetokea baada ya gari lao...
0 Reactions
1 Replies
21 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
260 Reactions
156K Replies
4M Views
Habari wadau wa jukwaa la Tech,juzi ilinyesha mvua kubwa na radi iliyopelekea umeme kukatika.Cha ajabu umeme ulivyorudi kwangu uligoma kabisa ikabidi kuwaita TANESCO kuangalia wakadai mita...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
1. Kwa Kodi ya Shilingi Milioni Moja za Uganda ( Tanzania Shilingi Laki Tano ) nitapata Nyumba ya Hadhi gani ya Kupanga? 2. Je, mfumo wa Ulipaji Kodi huko ni kama wa huku Tanzania wa Miezi...
1 Reactions
3 Replies
49 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
915 Reactions
1M Replies
38M Views
Hapana shaka CCM ni SSH: ACT-Wazalendo ni ZZK: CHAUMMA ni HRS: CHADEMA ni nani? Maoni yangu; -Chadema wange 'vujisha' mgombea wao ili wananchi wamzoee, wampime ....kusudi, ikifika 2025...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Je, 1. Uwalipizie Kisasi? 2. Uwasamehe na ikibidi Uwasaidie baadhi yao? 3. Uwafanyie Kufuru ya Kimatumizi? 4. Kama ni Wanaume basi kwa Makusudi utembee / ulale na Wake zao? 5. Kama ni Wanawake...
1 Reactions
5 Replies
6 Views
Sote tunaujua mpira yah mpira ambao uotumika kuchezwa na wachezaji vipi ule si duara kama dunia!? Leo hiyi ukiuchukua mpira ukachukua makapeni ukauchora mstari kwa uelekeo uleule ukazungusha...
0 Reactions
5 Replies
57 Views
Watu wa daressalam, watoto wa mjini daressalam 😁😁 mmekuwa ni muhanga Sana wa hili.. Mimi shughuli zangu Mara nyingi hufanyia kanda ya ziwa, na mara moja moja huja daressalam endapo tu Kuna fursa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nimegundua mita yangu haikati umeme hata unit zikiisha, ni mpya kabisa na imefungwa kwenye nguzo yao ya umeme. Wamefunga mita za nyumba kama 4 kwenye nguzo hiyo, kwahiyo tunatumia vile vi remote...
4 Reactions
6 Replies
7 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,469
Posts
49,202,663
Members
664,031
Latest member
G 1
Back
Top Bottom