Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Moderator leo mmenikera sana tena sana nimeanzisha thread yangu, halafu mnaiunganisha na thread nyingine Mbaya zaidi mmeunganisha kwenye thread ya mtu ambaye sijawahi kumkubali hata kidogo Aisee...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Ni jambo la busara sana. Kuinua uchumi wa nchi. Mama abarikiwe sana. Ametuona kwa kweli.
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Benki mbona kama hakuna usalama Tena.. Hivi hiii hali ya kupoteza hela benki inatokana na nini maana mimi naona kama hii hali imezidi sasa. Siku mmoja nimeingiziwa Benki pesa kama laki 5 hivi...
6 Reactions
17 Replies
468 Views
Mwaka jana mwishoni niliexperience hio kitu, asikwambie mtu. Acheni mapenzi yawe kitu chenye nguvu kubwa duniani. Mimi nimekua nikiona watu wanalizwa na mapenzi, ila niliwachukulia wanyonge wa...
9 Reactions
304 Replies
8K Views
Jamaa yangu alibeti mkeka wake fresh... Ikabaki team moja inaongoza 2 bila dakika ya 78 na cashout nzuri tu inapatikana.. Akaamua asubirie game iishe apate milioni zake... Zikaongezwa dakika...
0 Reactions
5 Replies
44 Views
Mitandao ya kijamii imetoa fursa kubwa sana kwa mtu yeyote ‘kwenda mjini’ chap. Hii ni orodha ya baadhi ya watu ambao kusingekuwa na intaneti, wasingepata umaarufu walioupata. DKT. LOUIS SHIKA...
5 Reactions
15 Replies
602 Views
Mnatapa tapa sana ila ndio hivyo..... Iran shut down its nuclear facilities last Sunday over “security considerations,” UN nuclear chief Rafael Grossi has said, expressing concern over the...
0 Reactions
14 Replies
507 Views
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani. Yawezekana yule binti...
9 Reactions
64 Replies
2K Views
Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia...
31 Reactions
92 Replies
3K Views
Hii itukumbushe kuwa hii Dunia tunapita, na itusaidie kupunguza kama sio kuacha kabisa kiburi na kujipa umuhimu. Waliowahi kuishi na kuondoka ni wengi zaidi ya waliopo leo, na kila mmoja kwa...
30 Reactions
169 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,846,035
Posts
49,404,769
Members
665,809
Latest member
Edga wakota
Back
Top Bottom