Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Iko hivi i will be short. mzize ni copy paste ya kibu denis. worthless in front of the goal. ila kwenye swala la mikimbio yupo vyema sana. my views kwa mzize 1. Mzize ni useless player in...
2 Reactions
28 Replies
377 Views
Habari za muda huu....... Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq.......... ==== Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan Israeli...
1 Reactions
57 Replies
327 Views
Mzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL. Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta...
13 Reactions
118 Replies
5K Views
Ndugu wanaMMU, naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda. Baada ya kuona idadi ya single mothers inazidi kuongezeka kila kukicha, nimeshawishika kufungua uzi...
5 Reactions
50 Replies
539 Views
Jenerali Francis Agula na maafisa wengine tisa wamefariki katika helicopter crash jana.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake Tanzania Bara, Abdulurahman Kinana kimesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anafanya mambo makubwa ya maendeleo kwa Watanzania ikiwamo...
0 Reactions
8 Replies
130 Views
Msumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli. Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani...
16 Reactions
112 Replies
3K Views
Uchaguzi Mkuu wa ACT wazalendo uliopelekea kupatika a viongozi Wapya wa juu umekifanya Chama hicho Kuwa Cha kisasa Zaidi Ni dhahiri Vyama vingine kama CUF, Chauma na Chadema vitafuata nyayo za...
4 Reactions
14 Replies
266 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
922 Reactions
1M Replies
39M Views
Anaandika Boniface Jacob katika ukurasa wake wa X Nimepokea taarifa mbaya kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mafia inayohusu kiongozi mkubwa wa Halmashauri hiyo kumbaka mfanyakazi wake wa ndani...
2 Reactions
21 Replies
667 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,691
Posts
49,426,125
Members
666,018
Latest member
Choppa nle
Back
Top Bottom