Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
5 Reactions
73 Replies
906 Views
Habari wadau. Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA. Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm Amepata...
42 Reactions
315 Replies
12K Views
Mimi ni mkristo, mpenda haki. Nimekuwa nikiwatetea sana wapalestina katika platforms za social media kote nilipo. Hakika kitendo kinachoonekana katika video niliyoambatanisha kimeniumiza...
0 Reactions
24 Replies
377 Views
MAKABURI YA WASIO NA HATIA (GRAVES OF THE INNOCENTS)- 1 JINA langu naitwa Togolai Mahimba, ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba wa baba yetu, Sinai Mahimba ambaye kwa sasa ni marehemu. Baba...
15 Reactions
302 Replies
31K Views
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa. Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani...
15 Reactions
100 Replies
1K Views
Kuna taarifa kuwa mashabiki wa Simba kutoka Mbeya wamepata ajali maeneo ya Vigwaza Pwani, wakiwa njiani kuelekea Dar, kushuhudia mechi ya Simba na Ahly. Ajali hii imetokea baada ya gari lao...
7 Reactions
70 Replies
946 Views
Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya...
11 Reactions
86 Replies
1K Views
Sote tunaujua mpira yah mpira ambao uotumika kuchezwa na wachezaji vipi ule si duara kama dunia!? Leo hiyi ukiuchukua mpira ukachukua makapeni ukauchora mstari kwa uelekeo uleule ukazungusha...
0 Reactions
15 Replies
186 Views
Amani iwe nanyi. Kwa wenyeji wa DSM na wazoefu wa hizi spa(ofisi za massage) nina swali kwenu. Mimi ni professional spa therapist (nafanya body massage, pedicure, manicure, facial treatments...
37 Reactions
265 Replies
12K Views
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe, Abdulaziz M. Abood asikitishwa na kuendelea kwa mgogoro wa ardhi baina ya wananchi wa mtaa wa Kidondolo na Mamlaka ya Chuo Kikuu cha Sokoine {SUA}, ambao...
1 Reactions
5 Replies
356 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,499
Posts
49,204,046
Members
664,041
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom