Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki? Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana...
1 Reactions
8 Replies
31 Views
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa...
2 Reactions
42 Replies
945 Views
Kenya imetajwa kama nchi ambayo pesa yake inaimarika dhidi ya USD kwenye nchi za kusini mwa jangwa la Sahara.Siku za hivikaribuni shiling ya kenya imenza kuimarika sana baada ya kuyumba sana. Hii...
3 Reactions
30 Replies
425 Views
Umdhaniaye siye. Hata mabonge ni wezi na vibaka? https://www.youtube.com/watch?v=ceNupu_zjq0&pp=ygUlcm9iYmVyeSBjYXVnaHQgb24gY2FtZXJhIHNvdXRoIGFmcmljYQ%3D%3D mrangi Isanga family King Kong III
1 Reactions
17 Replies
509 Views
Usiku wa Jumamosi, tarehe13 April 2024, Iran iliishambulia Israel kwa makombora mbalimbali na drones 300, huku mitambo ya Israel, Marekani, Uingereza na Jordan, ikidaka zaidi ya 99% ya makombora...
9 Reactions
72 Replies
2K Views
Habari wakuu! Nimekuwa na hamu ya kumiliki character wangu anayeitwa TANZANIAN (kama masudi alivyo na Kipanya, au kulivyo na madenge, nk) ambaye nitaweza kumtumia kwenye ujasiriamali mbalimbali...
1 Reactions
1 Replies
21 Views
Tax Assessors na Tax Collector's wanalielewa Hilo hivyo ni vema wakamuelewesha Waziri Mwigullu Na kwa bahati nzuri Naibu Katibu mkuu Hazina ni Tax man Sanare wakati wa kuanzisha TRA ndiye...
4 Reactions
3 Replies
48 Views
Nimewaza Vita ya Irani na Israeli na Kituko cha Mizinga 300 kutoleta Athari Kwenye Ardhi ya Israeli. Inawezekanaje Siraha hevy za moto zaidi ya 300? Sio kwamba Irani na Israel wana lao moja...
1 Reactions
21 Replies
251 Views
Nimejikuta natafuta Israel kwenye hii ramani, inabidi uitafute sana tu yaani, majitu ya uarabuni yanatia aibu, halafu na huku Afrika kuna wavaa kanzu ambao wanapaswa kuitazama hii picha wajipige...
0 Reactions
12 Replies
343 Views
Ndugu zangu Watanzania, Tusiache wala kukubali wala kukaa kimya wala kupuuzia wala kuona ni kawaida wala kusema haituhusu wala kuacha kulaani na kukemea mtu au watu au kikundi cha aina yoyote ile...
10 Reactions
317 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,845,829
Posts
49,398,424
Members
665,735
Latest member
Magreth kivuyo
Back
Top Bottom