Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mjumbe hauwawi,picha Ina maelezo ya kutosha. https://www.instagram.com/p/C5z1T5JqvmU/?igsh=Y3hvbm8ybThxeTdx https://twitter.com/usembassytz/status/1779847499605283190?t=tXarsYdsYDeevJ0ZLm0OVA&s=19...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Anasema kipindi kilichopita kilikuwa na kikundi kinaitwa tusk force. TRA walikuwa wanafunga account za wafanyabiashara kwa kisingizio cha kukusanya kodi kwa kutumia Task force hivyo kufilisi...
7 Reactions
31 Replies
848 Views
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki? Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana...
6 Reactions
31 Replies
370 Views
A
Anonymous
Hapa Mbezi Luis, Karibu na soko ambalo linapakana na Shule ya msingi Mbezi Kuna bar na gest ipo karibu na soko kwa nyuma ya soko, bar hii inaitwa Lubumbashi na maeneo yake ya jirani kunafanyika...
3 Reactions
7 Replies
282 Views
1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima. Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke...
13 Reactions
56 Replies
2K Views
Wakuu habari za muda na wakati kama huu. Binafsi naamini wengi wetu tu wazima wa afya na wale wachache wenye changamoto fulani kiafya basi Mungu awatie nguvu na awape steps zingine ahead...
36 Reactions
158 Replies
4K Views
Kulingana na jinsi Kikokotooo kilivyo mwiba kwa wastaafu, huyu mbunge siyo Mtanzania. Mbunge amelewa mafao wanayolipwa wao kwa miaka 5 na kuwasahau watumishi wa umma wanaotumikia taifa kwa miaka...
13 Reactions
253 Replies
5K Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM Komredi Kinana amewataka Wanaccm halisi kuwatambua Ndumilakuwili Wote ambao mchana wako CCM na Usiku wako Chadema na wawaweke pembeni Aidha Kinana amesema katika Dunia ya...
2 Reactions
10 Replies
446 Views
Hakika Mkuu wa Mkoa wa Arusha ameweka Rekodi ya kuwa kuwa Kiongozi anayeombewa sana na VIONGOZI wa Dini. Kwa muda mfupi uliopita Bwana Makonda ameombewa na Viongozi Wafuatao 1. Kardinali Pengo...
4 Reactions
22 Replies
684 Views
  • Sticky
Full name: Liverpool Football Club Nickname(s): The Reds Founded: 3 June 1892 League: Premier League Website: LiverpoolFC.com Ground: Anfield, (Capacity: 54,074) - Pitch 101m x 68m...
123 Reactions
142K Replies
7M Views

FORUM STATS

Threads
1,845,833
Posts
49,398,610
Members
665,735
Latest member
Magreth kivuyo
Back
Top Bottom