Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Katibu mkuu Nchimbi,katibu mwenezi Amosi Makala,Alli Hapi wazazi,na Joketo Mwegelo vijana bado hata robo ya amshaamsha ya MAKONDA hata robo yake hamjamfikia kulikoni? Mngedoda sana, bahati yenu...
4 Reactions
19 Replies
470 Views
Homa ya Kariakoo Derby inazidi kupanda, siku ya kumaliza ubishi imewadia. Leo jioni kuanzia saa moja miamba hii itakutana kutafuta point tatu muhimu kuendeleza marathon za Ligi Kuu ya NBC. Yanga...
14 Reactions
106 Replies
2K Views
Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024. Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa...
40 Reactions
434 Replies
20K Views
Rais Samia ametimiza miaka 3 tangu achukue madaraka ya urais lakini ukilinganisha na miaka 3 ya hayati Magufuli akiwa madarakani ni kama mlima na kichuguu kwa matokeo. Rais Samia amefanya semina...
32 Reactions
220 Replies
11K Views
  • Sticky
Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea. Tuambiane; - Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako? - Ni ya aina gani...
49 Reactions
22K Replies
2M Views
Huo ndio ukweli mchungu kwamba Ndani ya Chama hakuna wa kushindana na Rais Samia 2025 Hata zitolewe Fomu 1000 kwenye kura za maoni Dr Samia atashinda kwa Kishindo Kama unabisha basi watazame...
2 Reactions
10 Replies
64 Views
Habari wadau, Mchungaji wa kanisa la kilokole akitoa ushuhuda wa kilichotokea kwenye ndoa ya waumini wake. Bwana harusi na yeye anaeleza kwa urefu alichokutana nacho kwenye usiku wa kwanza wa...
15 Reactions
100 Replies
3K Views
Waswahili wanasema Mtu akipata Mtoto kuna namna hujikuta akibadilika na kugundua baadhi ya Mambo ambayo hapo awali hakuwahi kuyajua wala kuambiwa na waliomtangulia kwenye Malezi Mtu mmoja...
9 Reactions
34 Replies
843 Views
Operation Northwood Ni false flag operation ya kijeshi iliyopangwa na wizara ya ulinzi ya marekani kwa kushirikiana na CIA mwaka 1962 kipindi cha Vita baridi ili kupata sababu ya kuivamia kijeshi...
2 Reactions
9 Replies
410 Views
Wasalaaam.. Nina imani mko poa na mnatekeleza majukumu yenu kama ilivyo ada. Kabla ya yote, watu tunafanya mambo kulingana na uhitaji wetu, na tunafanya kwa makadirio ya kuridhika na kitu ambacho...
0 Reactions
2 Replies
16 Views

FORUM STATS

Threads
1,847,008
Posts
49,438,242
Members
666,163
Latest member
rajabu musa
Back
Top Bottom