Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo...
17 Reactions
1K Replies
49K Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa tathmini ya athari ya miundombinu ya barabara nchini imebaini hadi kufikia jana Aprili 14, 2024 kuwa Wizara ya Ujenzi inahitaji kiasi cha...
2 Reactions
8 Replies
400 Views
Naomba mwenye soft copy ya civil procedure law by Chipeta
0 Reactions
1 Replies
13 Views
Kuna siasa za majibizano zinaendelea ndani ya uongozi wa juu kabisa wa CCM na serikali kuu. Mheshimiwa Nchimbi haonekani kufurahishwa na hulka za kikazi za RC wa Arusha na hakai na kitu moyoni...
1 Reactions
8 Replies
9 Views
Rais wa Tanzania ametangaza kurejesha tena utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu kuanzia July, 2024 kwa utaratibu wa kutumia Benki kwa Halmashauri...
0 Reactions
3 Replies
69 Views
Umdhaniaye siye. Hata mabonge ni wezi na vibaka? https://www.youtube.com/watch?v=ceNupu_zjq0&pp=ygUlcm9iYmVyeSBjYXVnaHQgb24gY2FtZXJhIHNvdXRoIGFmcmljYQ%3D%3D mrangi Isanga family King Kong III
2 Reactions
19 Replies
656 Views
Swali ni kama linavyojieleza hapo juu. Naomba maoni yenu ya Kijamii na kimaadili limekaaje hilo suala yaani kuwanunulia na kuwakabidhi moja kwa moja. Karibuni.
7 Reactions
78 Replies
1K Views
Baada ya misukosuko ya Serikali na Hospitali binafsi kwenye Huduma za Afya kwa Wanachama wa Bima ya Taifa ya NHIF kuna kama utaratibu umeibuka wa kunyimwa baadhi ya Dawa kwa kigezo kwamba...
4 Reactions
44 Replies
751 Views
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki? Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana...
23 Reactions
110 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Kaskazini, Nabii wa Mungu Godbless Lema amewataka wakuu wa vyombo vya Usalama vya Tanzania kujiuzulu mara moja kutokana na Uzembe wa kutokujua kwamba Rais anatukanwa...
7 Reactions
38 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,845,939
Posts
49,401,427
Members
665,780
Latest member
lucysAloyce
Back
Top Bottom