Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Facial expression na kauli za Mama leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya CAG na TAKUKURU ni kama vile Mama hakuwa na raha na GAG zaidi mzani ulielemea kwa TAKUKURU
3 Reactions
24 Replies
733 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watu kumi na mbili kwa tuhuma za kukutwa wakila mchana hadharani kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao wanaifanya kuwa...
11 Reactions
278 Replies
5K Views
Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k...
15 Reactions
220 Replies
2K Views
Kukamata mtu kisa amekula mchana siyo ukandamizaji wa haki za binadamu? Tundu Lisu mbona haukemei? Hili wimbi la ukamataji watu huko Zanzibar limeagizwa na nani? Katiba ya Tanzania inasemaje?
0 Reactions
8 Replies
51 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
915 Reactions
1M Replies
38M Views
LOVE JUAKALI ALIVYOMLIPA WEMA MWANAMKE MWENZAKE ALIYEDAI HAMPENDI KWASABABU ANA SURA NA UMBO BAYA. Unaweza kushangaa! unaweza usiamini lakini watu wema bado wapo! kama matukio yanavyojieleza...
1 Reactions
5 Replies
137 Views
Habari wadau. Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA. Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm Amepata...
40 Reactions
304 Replies
11K Views
Heshima kwenu wakuu Siku kadhaa nyuma niliweka andiko hapa lakutafuta mwekezaji kwenye biashara yangu, na nikapokea calls, SMS na Pms kadhaa zingine walitaka kujua nafanyaje fanyaje ili kuweza...
16 Reactions
91 Replies
2K Views
Hawa jamaa huwa wanaijihisi kuwa wao ndio wanajua kumuabudu Mungu kuliko wengine, Mungu muumba wa dunia aliona mbali sana, kuwanyima mamlaka hawa jamaa. Licha ya wengi wo kuisoma dini vilivyo...
5 Reactions
17 Replies
133 Views
Wanaukumbi. Mkuu wa Huduma ya Usalama ya Shirikisho la Urusi alisema leo, "Marekani, Uingereza, na Ukraine, ndizo zilizohusika na shambulio la ukumbi wa tamasha la Moscow". Hayo ni madai mazito...
8 Reactions
72 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,417
Posts
49,201,358
Members
664,013
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom