Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Furaha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing). Furaha Dominic ni yule kijana ambaye...
18 Reactions
133 Replies
9K Views
Mkuu wa mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amewataka Wafanyakazi wa TRA wawatendee wema Wafanyabiashara kwa kuzingatia sheria na kujua Kuwa Hata wao ni Wafanyabiashara watarajiwa Makonda amewataka...
9 Reactions
26 Replies
739 Views
Habari wanaJF Mwaka jana nilileta uzi kuomba msaada baada ya masiku ya kuhangaika na kukosa msaada kwa takriban miaka mitatu. Tatizo lilikuwa kukosa nguvu za kiume baada ya kuchepuka na aliekuwa...
7 Reactions
49 Replies
858 Views
Growing up, I was told that a girl is like a white sheet. A small dot on the sheet is no longer considered beautiful. I was told to abstain from boys throughout my adolescence. You grow up being...
1 Reactions
1 Replies
24 Views
Wapo walioapa kuilinda na kuitetea katiba lakini wanasema muungano uvunjwe. Haya ni madhara ya mtu kuapa dhidi ya kitu asochokielewa. Mtu anaapa kuilinda katiba je hiyo katiba anaielewa? Nimara...
0 Reactions
12 Replies
255 Views
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi. TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa...
1 Reactions
31 Replies
463 Views
Leo hii ukienda hospitali za seriakali afu ndo ujauzito wa kwanza ukitoka upasuaji haujakuhusu basi mshukulu Mungu. Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu...
16 Reactions
79 Replies
1K Views
Wana MMU, Wengi tukisalimiana unaambiwa good moorning, unajibu tu kukamilisha salamu. Unaulizwa unaendeaje na hali unajibu fasta tu salama wakati ukweli ni kwamba unakaribia ku give up, maisha...
11 Reactions
86 Replies
1K Views
Nimefungua biashara ya kunyoa yaan kinyozi Siyo berbershop bado haina hadhi hiyo Lakini naona mauzo madogo je naweza nikaongeza biadhara gan hapo ili iwe inabust?? Watalamu wa biashara
4 Reactions
57 Replies
1K Views
Sometimes huwa tunafanya mambo kimazoea na kujitia ujuaji mwingi. Najua mwana JF kuna siku uliaibika Aidha kwa ushamba ulionao, kujitia mjuaji ama kutokuwa na ufahamu juu ya Mambo fulani fulani...
59 Reactions
653 Replies
87K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,100
Posts
49,474,172
Members
666,593
Latest member
Theresia mpoma
Back
Top Bottom