Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimekaa nasoma jf Mara text hizo Kwa wasapu yangu Angalia mwenyew hizi screenshot
2 Reactions
12 Replies
366 Views
1. Kocha Benchika kutimuliwa rasmi Simba SC 2. Mwekezaji Mo Dewji kuchafua Hali ya Hewa kwa ama Kujiondoa Simba SC au Kuubadili Uongozi wa Bodi. 3. Mwenyekiti wa Bodi Simba Sports Club Limited...
3 Reactions
5 Replies
6 Views
Kutoka angani naliona Bwawa kubwa, liliojengwa kutoka kwenye urithi wetu wa mto Rufiji, katikati ya Hifadhi yenye jina lake Nyerere mtu wa kipekee. Naliona Bwawa lile na kukumbuka kwamba wakati...
28 Reactions
163 Replies
9K Views
Homa ya Kariakoo Derby inazidi kupanda, siku ya kumaliza ubishi imewadia. Leo jioni kuanzia saa moja miamba hii itakutana kutafuta point tatu muhimu kuendeleza marathon za Ligi Kuu ya NBC. Yanga...
26 Reactions
831 Replies
19K Views
Aliyekuwa Muigizaji wa tamthilia ya Zahanati ya kijiji Bi Ubwa amefariki leo tarehe 20/4/2024. Hakika sisi ni wa Mungu na kwake tutarejea
1 Reactions
34 Replies
551 Views
Magufuli aliugua kwa matatizo ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu tangu akiwa Chuo Kikuu UDSM Jenerali mstaafu Venance Mabeyo alieleza kwa uwazi mkubwa kuwa Magufuli aliugua akapelekwa...
3 Reactions
49 Replies
1K Views
Habari ya Asubuhi Wanajamvi, Poleni na Majukumu ya Weekend na Mliofanikiwa Kwenda Sehemu za Ibada, Mungu Awabariki. Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat...
14 Reactions
113 Replies
1K Views
Habari ndugu Kwa kahama mashine bei ya mchele ikoje huko asaivi Kama kuna ndugu anafanya biashara hapo tuwasiliane i wish kuja huko next week kuona namna mzunguko wa mchele huko ulivyo au kama...
0 Reactions
2 Replies
6 Views
Msije kusema sijawaambia, weka milioni 10 mpe Yanga ashinde ujishindie milion 20 za bure kabisaa. Kumbuka Max Nzegeli ndio amebeba hirizi ya timu na ule uwezo utakaouonesha leo jueni ni ndumba...
2 Reactions
5 Replies
129 Views

FORUM STATS

Threads
1,847,064
Posts
49,441,358
Members
666,182
Latest member
gearbox
Back
Top Bottom