Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Na wala hakuna aliyewahi kukamatwa achilia mbali kufungwa , hili ndilo linawafanya viongozi wa ccm kulogana kugombea Vyeo kwenye matawi na kata , huwa wanalambishwa hizi heka hata kama ni kidogo...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
915 Reactions
1M Replies
38M Views
Taifa la Iran limepiga hatua kubwa kwa ugunduzi na utengenezaji zana vita. Katika maonyesho ya zana vita, yanayoendelea Qatar,Iran imeonyesha Drone yake,inayoweza kubeba mabomu 13,na kutembea...
13 Reactions
80 Replies
1K Views
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amebaini Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepata hasara ya Sh894 milioni licha ya kupokea ruzuku ya Sh4.55 bilioni...
0 Reactions
9 Replies
257 Views
Leo nimepanda daladala naenda mjini kwenye mishe mishe, seat ya mbele alikaa mdada mmoja hivi alikuwa busy anachat kama mnavyojua macho hayana pazia nikabahatika kusoma ujumbe mmoja nanukuu" Emma...
24 Reactions
51 Replies
1K Views
Inakuwaje watu wasioshiriki mfungo wafungwe kama sio udini ? matukio haya yanazidi kutuletea hofu ya ile hoja "can islam co exist with non muslims" kwamba sehemu ikijaa waislam basi haki za wasio...
3 Reactions
16 Replies
155 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
260 Reactions
156K Replies
4M Views
Ndugu zangu Watanzania, Leo nataka niwapeni uchambuzi wangu na Elimu kidogo juu ya nani angefaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA baada ya Mbowe kung'atuka uongozini na kuruhusu mawazo mapya na fikra...
7 Reactions
86 Replies
1K Views
Kwa haya yanayo endelea hilo li nchi ni dola la Kiislam au ?
1 Reactions
8 Replies
9 Views
https://youtu.be/PzXidI7eSAM?si=rjlBLsmrAOEmFIai
1 Reactions
6 Replies
125 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,358
Posts
49,198,770
Members
664,001
Latest member
Acciboy
Back
Top Bottom