Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimeangalia jana znz watu wanakamatwa kwa kula mchana ....sasa nikajiuliza mfano marekani ingekuwa dola ya kiislam uingerez dola ya kiislam china nayo dola ya kiislam .yaani mfano nchi...
2 Reactions
25 Replies
204 Views
Mnisamehe na swali langu hilo wadau, lakini naomba tu mnijulishe au mnikumbushe! Ahsante.
4 Reactions
32 Replies
561 Views
Shirika la umeme Tanesco limekuwa likihujumiwa na watendaji wake Kwa maslahi binafsi na ya Kisiasa Ili kuikomoa Serikali. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati na NWM Dotto Biteko baada ya...
2 Reactions
4 Replies
181 Views
Kumekuwa na hoja maoni na mitazamo tofauti sana kwa baadhi ya watu kuhusu idadi sahihi ya watoto wanaozaliwa zama hizi kulinganisha na zamani. Dada mmoja mtu mzima kazini ana watoto watatu na...
13 Reactions
137 Replies
8K Views
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha...
0 Reactions
5 Replies
40 Views
Kesho ni ijumaa kuu kwa kifupi ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia katika mateso yake Najua hatutakula nyma kabisa je ni hatari na haramu nikila samaki? Msaaada naombeni
7 Reactions
114 Replies
2K Views
Kwako mkurugenzi wa TANOIL fanya yafuatayo kuongeza mauzo kwenye vituo vya mafuta vya TANOIL ili kampuni ipate faida. Kwanza kabisa naomba kumshukuru Rais Dkt Samia Suluhu kwa kuruhusu uhuru wa...
2 Reactions
49 Replies
729 Views
Hii kampeni bila shaka imeasisiwa na wanasiasa wasio fahamu utani wa jadi uliopo kati ya simba na yanga. Ukiwa shabiki wa timu mojawapo ya hizi timu huwezi kuiombea mema timu ya upande wa pili...
0 Reactions
0 Replies
4 Views
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa. Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani...
27 Reactions
136 Replies
2K Views
Nimestushwa na kuogopa tena nikalazimika kuisoma Katiba ya Zanzibar mara mbili. Leo Waislamu wa Zanzibar wanawavamia na kuwapiga vibaya Wazanzibar wenzao ambao sio Waislamu kwakuwa tu wanakula...
13 Reactions
320 Replies
20K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,524
Posts
49,204,933
Members
664,043
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom