Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

On this thread, I shall be sharing my personal views on a number of issues that includes politics, religion, sports, language skills, motivational words among others. My aim is to avoid...
16 Reactions
3K Replies
23K Views
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa. Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani...
42 Reactions
260 Replies
4K Views
wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza YANGA 2.45 vs 2.90 MAMELOD hapa kuna ishara gani?ila wale ijumaa kuu fc wamepewa 2.75 Vs 2.40 Taifa la Ahly . Wacha inyeshe.
2 Reactions
16 Replies
165 Views
Mama/Baba yako anakupenda tu kwa sababu wewe ni mwanae. Alikuzaa, umekuwa anakuona, mmekuwa na bond ya muda mrefu. Kaka na dada zako wanakupenda tu kwasababu wewe ni ndugu yao. Mmezaliwa pamoja...
10 Reactions
32 Replies
333 Views
Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Real Madrid na timu ya taifa ya Cameroon 🇨🇲 Geremi Njitap, ametangaza kuvunja ndoa yake na mkewe Laure Fotso, ndoa iliyodumu kwa muda wa miaka 12, baada ya kugundua...
16 Reactions
253 Replies
5K Views
Hello mabibi na mabwana natafuta hii dawa hapa Tanzania nitaipataje? Km unajua inapouzwa au jinsi ya kuagiza naomba nijuze.
0 Reactions
1 Replies
4 Views
Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya...
11 Reactions
125 Replies
2K Views
Tukiwa tuna masiku kadhaa tokea mfungo uanze nimejaribu kukutana na changamoto kadhaa kwa baadhi ya watu wakikereka na watu wanaokula mbele yao huku wakiwa hawajafunga. My take Sijaona andiko...
10 Reactions
43 Replies
626 Views
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana. CAG yupo kwa mujibu wa Katiba kuwepo na kuondolewa kwake lazima kufuate Katiba japo kuna kiongozi tuliwahi kumpata kwa bahati mbaya kiongozi huyo alikuwa...
0 Reactions
2 Replies
66 Views
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha...
11 Reactions
69 Replies
715 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,590
Posts
49,206,802
Members
664,060
Latest member
Proces Tech
Back
Top Bottom