Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wasalamu,hii kitu inanichanganya sana,unaweza Kuta mwanamke ana sura,ana Tako ila Tabia ni sio nzuri kivile. Unaweza Kuta mwanamke ana sura ya kawaida tu na Tako la kuibia tu ila ana adabu balaa...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Kuna ndugu yangu amelipia kifurushi cha NHIF cha Tshs. 530,000 kwa mwaka. Hapa karibuni amepata tatizo la maumivu ya jino. Kwa vile anaishi Oysterbay, akaamua kwenda kwenye hospitali binafsi...
4 Reactions
16 Replies
331 Views
Babaji ni Himalayan yogi ambaye ameishi kwa muda mrefu sana. Kila mtu anapaswa kumfahamu Babaji ni nani. Inasemekana Babaji amezaliwa Madras, India, AD 200. Mpaka leo yuko hai. Nilitamani...
1 Reactions
5 Replies
105 Views
Benki mbona kama hakuna usalama Tena.. Hivi hiii hali ya kupoteza hela benki inatokana na nini maana mimi naona kama hii hali imezidi sasa. Siku mmoja nimeingiziwa Benki pesa kama laki 5 hivi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Mm kunichekesha si rahisi sana ila hawa madogo wanaitwa MABANTU Leo nimeona video yao inaitwa Mali safi nimecheka. Safi vijana tumechoka tu kuona vixen wenye chura kwenye video za bongo.
0 Reactions
2 Replies
75 Views
Waziri wa ulinzi anawahakikishia mullahs wamefel kichapo kipo njiani kuwanyea ni kuwatembezea kichapo tu. Kwa jinsi pro Iran wanavyotamba baada ya kombora zao kushindwa reach target 🎯 zingine...
1 Reactions
8 Replies
74 Views
Boby risky a.k.a mjuba aliye left group la makamanda. Hatimaye ame hukumiwa kwenda jela kwa kosa la kukanyaga fedha ya naira. hakimu ame muondolea kipengele Cha kulipa faini, ili aende jela moja...
18 Reactions
164 Replies
5K Views
Hakika ya dunia ina vitu vizuri na vyenye kupendeza ambapo pengine watu kwenye malengo watatamani kuvipata ama kuvifikia. Miongoni mwa hvyo vitu vizuri ni majiji makubwa hapa duniani yenye...
1 Reactions
4 Replies
38 Views
Hapa ni mahala salama kwa mpenzi wa Dream League Soccer(DLS). Game hili limetengenezwa na Kampuni ya FIRST TOUCH SOCCER(FTS). Game la DLS ni game bora zaidi kwa sasa duniani kwa upande wa soccer...
21 Reactions
4K Replies
92K Views
Wanabodi heshima kwenu wakuu! Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi toleo la leo 16/04/2024 ukurasa wa 17, kuwa RAIS DR SAMIA atafanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kwa mda wa siku 5 kuanzia...
6 Reactions
20 Replies
758 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,009
Posts
49,403,814
Members
665,807
Latest member
Edga wakota
Back
Top Bottom