Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari zenu jamani, Mimi ni kijana Nina Miaka 25 nina jambo langu linaeda kama ifuatavyo. Kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza ambapo nilikuwa nasomea kada ya Afya, Kuna Binti nilikuwa naye kozi...
7 Reactions
95 Replies
1K Views
Sometimes wakina LILITH wanatakiwa kupoa tu, alafu sisi WAHUNI tufurahie utafutaji wetu. Wahuni wote peponi.
0 Reactions
2 Replies
34 Views
Zipo taarifa kwamba Serikali ya Tanzania imekataa ombi la Mohamed Dewji la kutaka kufunga kiwanda chake cha chai. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amemuomba Bwana Dewji kufanya majadiliano na...
13 Reactions
150 Replies
6K Views
kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu.. Kaka sasa liko ihvi...
0 Reactions
13 Replies
186 Views
Mkaguzi Mkuu na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kwenye mwaka wa fedha 2022/23 limepata amebaini hasara hasara ya Sh56.64 bilioni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Msaada wenu unahitajika wakuu.pikipiki yangu TVS 125.Mwaka jana iliua cylinder head nikaiweka ndani,wiki iliyopita nilinunua cylinder head mpya nikafunga,Tatizo linalonikabili ni kuwa ukiiwasha...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nimemsikiliza CAG Ikulu Dodoma wakati wa kuwasilisha report yake Kwa Rais nimeshtuka sana. Moja ya sababu alizozitaja za NHIF kupata hasara ni wastaafu kutibiwa bila kuchangia. Sasa swali langu...
12 Reactions
27 Replies
424 Views
Nchi nyingi zenye mlengo wa uislamu au majimbo mengi ya nchi yenye mlengo wa uislamu uwa ni kitovu cha ugaidi na maeneo hayo usifika kwa kuzalisha makundi mengi ya Kigaidi. Sisemi tu kwa sababu...
31 Reactions
580 Replies
11K Views
Habari wana jf. Naimai mko poa kabisa Kama kichwa cha habari kinavyosema Nimekuwa na mahusiano na waschana takribani matano mpk asaiv. Ila chakushangaza kila dem napokuwa kweny mahusiano nae...
5 Reactions
31 Replies
203 Views
Baada ya maradhi sugu, hakuna kitu kinachokosesha amani kama kuwa na madeni. Hili jambo linatia stress ya hali ya juu mno. Na mbaya zaidi ni kuwa stress hii inakufanya ushindwe ku focus kufanya...
13 Reactions
45 Replies
954 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,280
Posts
49,195,955
Members
663,965
Latest member
Abel paschal
Back
Top Bottom