Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwenye taasisi zingine zilizo chini ya serkali kuna madudu mengi sana! Inakuwaje kwenye halmashauri kuwe safi kwa 99% huku kwenye taasisi za serkali kuwe kumeoza! Au minong'ono ya bahasha kwa...
1 Reactions
16 Replies
84 Views
Amani iwe nanyi. Kwa wenyeji wa DSM na wazoefu wa hizi spa(ofisi za massage) nina swali kwenu. Mimi ni professional spa therapist (nafanya body massage, pedicure, manicure, facial treatments...
35 Reactions
252 Replies
11K Views
Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri. Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali? Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na...
10 Reactions
62 Replies
494 Views
Zanzibar ni dola la kiislam? serikali ya Zanzibar inaongozwa na katiba ya kiraia au Quran? mahakama zinashtaki waliokamatwa wanakula wakiwemo wakristo kwa sheria za kiislam? Kaimu Kamanda wa...
2 Reactions
29 Replies
226 Views
Kesho ni ijumaa kuu kwa kifupi ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia katika mateso yake Najua hatutakula nyma kabisa je ni hatari na haramu nikila samaki? Msaaada naombeni
1 Reactions
62 Replies
521 Views
Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k...
13 Reactions
172 Replies
2K Views
Ndugu zangu! Katika hali ya kusikitisha na kustaajabisha, kumekuwa na vilio vingi sana kwa watumishi wanufaika wa mfuko huo pendwa. Watumishi wanachama wa mfuko huo wanasema kuwa, ni miezi sasa...
1 Reactions
4 Replies
97 Views
Ibaki kuwa siri ya Rais na watu wake baasi , maana kiukweli pamoja na madudu yote yanayoanikwa lakini hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua . Zaidi ya kuleta manung'uniko na hasira kwa wananchi...
8 Reactions
26 Replies
260 Views
Habari wadau. Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA. Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm Amepata...
40 Reactions
296 Replies
11K Views
Kama wewe ni mfuatiliaji wa Tech basi hili neno umeshakutana nalo mara nyingi sana "iSheep" Huwa sipendi kulitumia kwa sababu naona kama ni offensive word ila kwa teknolojia ilipofikisha wateja...
6 Reactions
11 Replies
247 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,403
Posts
49,200,977
Members
664,016
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom