Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Taarifa haijakamilika rasmi, kama kuna yeyote atakaye pata updates zaidi, basi unaweza kutuletea taarifa iliyokamilika ๐Ÿค. โ€ข MwenyeziMungu awaweke mahali pewa wale wote waliofikwa na umauti...
1 Reactions
12 Replies
13 Views
Nchi hii vogogo wapigaji wa hela ya umma wanafikiri watu ni wajinga wote na hawana kumbukumbu. Suala la ufungaji flow meter bandarini wengi tunakumbuka lilifanyika kipindi cha awamu ya nne ya JK...
0 Reactions
1 Replies
26 Views
Wasalamu,hii kitu inanichanganya sana,unaweza Kuta mwanamke ana sura,ana Tako ila Tabia ni sio nzuri kivile. Unaweza Kuta mwanamke ana sura ya kawaida tu na Tako la kuibia tu ila ana adabu balaa...
0 Reactions
9 Replies
79 Views
Hii itukumbushe kuwa hii Dunia tunapita, na itusaidie kupunguza kama sio kuacha kabisa kiburi na kujipa umuhimu. Waliowahi kuishi na kuondoka ni wengi zaidi ya waliopo leo, na kila mmoja kwa...
29 Reactions
164 Replies
3K Views
Ni nini chimbuko la uvaaji nguo za ndani.. Zililenga kusaidia nini? Na mpaka wa sasa zina imuhimu gani?
13 Reactions
117 Replies
2K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
121 Reactions
509K Replies
29M Views
Kuna ndugu yangu amelipia kifurushi cha NHIF cha Tshs. 530,000 kwa mwaka. Hapa karibuni amepata tatizo la maumivu ya jino. Kwa vile anaishi Oysterbay, akaamua kwenda kwenye hospitali binafsi...
4 Reactions
25 Replies
529 Views
Nimejiuliza sana, JANGWANI sio kipande cha ardhi kutoka nje ya nchi kwamba hatukijui. Tangu zamani pale panajaa maji na bado watu wanajenga karakana ya Mabasi ya kisasa ya Mwendokasi. Hivi...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Benki mbona kama hakuna usalama Tena.. Hivi hiii hali ya kupoteza hela benki inatokana na nini maana mimi naona kama hii hali imezidi sasa. Siku mmoja nimeingiziwa Benki pesa kama laki 5 hivi...
6 Reactions
15 Replies
325 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,029
Posts
49,404,453
Members
665,810
Latest member
Edga wakota
Back
Top Bottom